National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,202
π π π Huwa nacheka nyani wakijichanganya kupiga vyomboVingekua vinaruka huku vinayumba ππππ... lakini pombe sio nzuri kwa wanyama, itavidhuru, ila nimecheka sana...
π π π Huwa nacheka nyani wakijichanganya kupiga vyomboVingekua vinaruka huku vinayumba ππππ... lakini pombe sio nzuri kwa wanyama, itavidhuru, ila nimecheka sana...
Wabheja sana mama kadogo!! πππ―π¨
Thanx dear yani naufatilia kwa ukaribuuuu,Karibu sana dadaa kipenzi.... badi mida ya nakeeedd tunakukaribisha sanaaaa utaenjoy na kufurahi sweetsissπππ!
Warmly welcome π«π
Anakuona zuzu wa mwishoTuishi humohumo ausiooo!!
Wabheja sana!! Hii ni tofauti na kupangwa huku mtu anakudanganya ilhali unaona kabisa unadanganywaaa unabaki tu kujiuliza Kwahio huyu ananiona mie zuzuu amaa??
Aiseeehhh mahusiano ππππππ!!
Yani mtu unajua kabisa kuwa Antonnia anampenda mtu wangu kufa kuozaaa na evidence unazo kabisaaaa Siku ya siku anakwambia............. Nhiiiiiiiiiiiiiiii... watu kibao hawana pesa still they survive kweeeeeenndddraaaπ―π¨
Unataka vibakane sio??Tena ya tabora yenyewe badae navipa suop ya pweza na karanga ππ
ππππ Vipashe misuri jambo zuri hiloUnataka vibakane sio??
For sure,ur Dignity is everythingMie najiondoa mwenyeweee sitakagi hekahekaaaa !! Yani unanipanga live yesuuuu!! Nakuacha mchana kweupeeee... hata kama una hela kiasi gani sipendagi dharau especially za rejareja kabisa mie!!
"Bora uzima maisha ni matokeo"
Pesa hii mbayaYani mtu unajua kabisa kuwa Antonnia anampenda mtu wangu kufa kuozaaa na evidence unazo kabisaaaa Siku ya siku anakwambia............. Nhiiiiiiiiiiiiiiii... watu kibao hawana pesa still they survive kweeeeeenndddraaa
Mdomo komaaπ·π·π·π€π€π€πΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈ Tuendelee kuselfika
Asante kipenzi ππWabheja sana mama kadogo!! ππ
Hope everything is ok with your family
Nafurahi kukuona selfika dearπ!
Enzi zangu hizo π ππ π
Kabisa na ukikubali lipo huwez pata stressSaint Anne Tinsley sophy27 sikuhizi kwa huu ulimwengu tunaoishi kuolewa / kuwa katika mahusiano hakujustify Kwamba mumeo/mtu wako ndio haruhusiwi au hatapenda wengine huko nje hilo halipo!!
Nimesema tu mie msinipinge wala kunipopoa banduguu!!note that!
It is the real life situation!
Sasa sijui ndio tamaa zenyewe sijui ndio nini.. Anajisemea Carrasco putin .mtajua wenyeweee
Akifika amesahau hata alichotumwa anaomba pipi au akikutana na wenzie wanacheza mpira au chochote anajiunga nao mama ndo anaenda sasa kuulizia dogo yuko wapi?
Hebu acha mawazo mabaya. Acha negativity. Saint Anne anasema kuwa na Imani. Yes huwa tunateleza, lakini tunajirudi.Anakuona zuzu wa mwisho
Wewe unajichekelesha tu eti hello ,nimekumiss kwanza hajajibu hata .
Kumbe yupo main chick , huko wewe huyo wa hauna taarifa yoyote
Sawasawa.. Kila mtoto amepitia kwa namna flani hapo..Enzi zangu hizo π π
π€£π€£π€£Kachukua moyo wa mwenzie umekuwa mpira
![]()