Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Hii pia nimeiandika shangazi ... Hii ya "Ndio mapito hayo"Polesana kunavitu haviepukiki na ndo mapito hayo
Au niongezeee na "maisha razima yaendelee sweetmadame??😉😉
Hii pia nimeiandika shangazi ... Hii ya "Ndio mapito hayo"Polesana kunavitu haviepukiki na ndo mapito hayo
Kukosa Hela ni habari nyingine lakn mapenz kuna kumpenda mtu sana akikuvuruga unaweza kunywa Pepsi hata nne😂😂Stress za kukosa na hela na mapenzi zipi kipengele 😁😁
Ongezea ongezea madamHii pia nimeiandika shangazi ... Hii ya "Ndio mapito hayo"
Au niongezeee na "maisha razima yaendelee sweetmadame??😉😉
Ameeeennn..Bwana ametamalaki
Hakuna aliye kama wewe Yesuuu
Noted sweetmadame📝📝Ongezea ongezea madam
Kitu kinachoweza nipa stress ni hela tu haya mengine hapana, ninayafanisha na ushuzi tu, unajamba harufu kidogo then inapotea 😁😁Kukosa Hela ni habari nyingine lakn mapenz kuna kumpenda mtu sana akikuvuruga unaweza kunywa Pepsi hata nne😂😂
KabisaPolesana kunavitu haviepukiki na ndo mapito hayo
Yaan acha tu muwe mnanialikaUnakwama wapi Auntie?
Hadi Junia anakushinda.
Mtu unakuta hana hela halafu mapenzi yana muendesha 😆😆😆 wa kupimwa akili kabisa huyoHela hela hela
Za mapenzi ni za kujitafutia tu.
Naomba hiyo cake jamani 😋Yaan acha tu muwe mnanialika
Yaan nakula cake nimekuwa km junia
Siku mambo ni kimwagilia moyo
View attachment 2347729
Weeeee Usinambie Mjomba!🤔🤔🤔!Kitu kinachoweza nipa stress ni hela tu haya mengine hapana, ninayafanisha na ushuzi tu, unajamba harufu kidogo then inapotea 😁😁
Unafaa kuwekwa ndani mwanamke mapishi 😁😁😁Yaan acha tu muwe mnanialika
Yaan nakula cake nimekuwa km junia
Siku mambo ni kimwagilia moyo
View attachment 2347729
😊😊😊 Undie desa 😁😁😁Weeeee Usinambie Mjomba!🤔🤔🤔!
Kumbee!!!😉😉
Naendelea kunote 📝
Yaani🤣Mtu unakuta hana hela halafu mapenzi yana muendesha 😆😆😆 wa kupimwa akili kabisa huyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! "Apimwe akili"Mtu unakuta hana hela halafu mapenzi yana muendesha 😆😆😆 wa kupimwa akili kabisa huyo
Hela ni jawabu la kila kitu 😁😁😁 sio mapenziYaani🤣
Tusilinganishe pesa na vitu vya ajabu.
Mtoto yupo shule...aache kusoma ati uende kuhangaika!
Lazima uchague kimoja.
Sauwasauwaa Anne!!😉Yaani🤣
Tusilinganishe pesa na vitu vya ajabu.
Mtoto yupo shule...aache kusoma ati uende kuhangaika!
Lazima uchague kimoja.
Umekuwa suguu eeh 😊😊Mm zamani nilikuwa kma Anne kulia Lia tu alafu unachokiliansasa na kile kisogo najiulizaga nilikwama wapi mm lakn sahiz roho imekuwa ngumu tutafuteni Hela jamn 😂
Tatizo la kwanza tu ni hela,sina pesa..Kukosa Hela ni habari nyingine lakn mapenz kuna kumpenda mtu sana akikuvuruga unaweza kunywa Pepsi hata nne😂😂
Wakubwa Imani🤣🤣🤣🤣Naomba hiyo cake jamani 😋