Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,488
😂😂😂😂NyieKuna mtu juzi alitoa ushuhuda kwa Mwamposa 😂Anamshukuru Mungu alikuwa hapati wapenzi kwa sababu ya hali yake ya ugonjwa wa ajabu waliomroga, Sasahivi anao wawili.
😂😂😂😂NyieKuna mtu juzi alitoa ushuhuda kwa Mwamposa 😂Anamshukuru Mungu alikuwa hapati wapenzi kwa sababu ya hali yake ya ugonjwa wa ajabu waliomroga, Sasahivi anao wawili.
Wengine manunda..ukiondoka sawa tu.Mimi basi nina karoho kepesi
Ndo maana vitu vingine sivitaki .
Najitahidi kuwa roho ngumi wapi .
Watu wakaanza kucheka 🤣😂😂😂😂Nyie
Iyo section ya ugali ni ngumu mno kuiacha hiv wanakumbukaga kiporo cha wali maharage na chai ya rangiKujinyonga?
Ugali ulivyo mtamu Nijinyonge kwa ajili ya mtu!
Aisee,, halafu upitilize tena motoni uwii.
Natamani niwe nunda Ila siweziWengine manunda..ukiondoka sawa tu.
Tupo mamillioni ya watu hapa duniani.
Mimi na ugali damu damu.Iyo section ya ugali ni ngumu mno kuiacha hiv wanakumbukaga kiporo cha wali maharage na chai ya rangi
Hahahaaa... hebu nicheke kwanza mie "kkhhaakhaaaaaa"🤣🤣🤣🤣🤣🤣ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ðŸ˜‚😂😂😂😂😂
Kwenye battle...
Purukushani za watu aisee dada wa watu wakakugeuza kumalizia hasira.
😂😂😂Ataki spare tair kuna emergency hali ikirudia je😂😂Watu wakaanza kucheka 🤣
Kanisani kweli anasema ninao wawili!
Walivyocheka sana akasema mtume niombee abaki mmoja ambaye ni sahihi.







@Saint Anne umeanza lini hiyo tabiaUmechelewa kidogo tu Chief..
Nilikuwa hapo kwenye kijiwe chako nimepiga vyombo hadi 11 kamili.
Vyombo vipo vingapi Mkuu??
Bia na Shishaaa,Soda siyo vyombo.
Taratibu utazoea.Natamani niwe nunda Ila siwezi
Sie soft-hearted tunaumia 😂
Nimeonja , fanya kunifanyia delivery ya msosi .Nyie pipo mlio single mmepika kweli au ndyo hamu ya kula haipo
Mnajikomoa kuleni mshibe bana![]()
Hebu ingieni kwanza ndoani muwe experienced ndio muongee hayo mnayoongea vijana 🤣🤣🤣🤣!Mimi na ugali damu damu.
Uzuri sisi tunaamua tupike au tusipike.Nyie pipo mlio single mmepika kweli au ndyo hamu ya kula haipo
Mnajikomoa kuleni mshibe bana![]()
Huko tena ndio kabisaaHebu ingieni kwanza ndoani ndio muongee hayo mnayoongea vijana 🤣🤣🤣🤣!
Nilisemaje vileee????🤣🤣😂
Sitii nenoo ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤
Yaani mimi sio naongelea kwa mahusiano tu Ila hata urafikiTaratibu utazoea.
Mimi mwenyewe rship ya mwanzo ilivyovunjika sikulala ile wiki japo hakuna nilichopoteza.
Nikikumbuka huwa nacheka jinsi nilivyokuwa zwazwa.
Kitambo sana tu miaka nenda miaka rudi.@Saint Anne umeanza lini hiyo tabia
Maneno ya kibabeNdioooooooooo!! Unajiua huku wenzio wanaendeleza kuikatikia wanakula maishaa maninaaaa!
Hivi nilisema sitii nenoo eee!!
Hapaa nasoma komenti tyuuu![]()
Mimi nakosa amani kidogo lakini Mungu anajua yote.Yaani mimi sio naongelea kwa mahusiano tu Ila hata urafiki
Nipo hivyo tu
Nahisi Mungu ndo ameniumba hivyo ,
😂😂😂😂😂Ataki spare tair kuna emergency hali ikirudia je😂😂