Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Thank you dearDah masikini🥺
Pole.
Mtumishi mmoja anasema mpe Mungu moyo wako .
Ukiweka moyo wote Kwa rafiki au mchumba ,siku wakikuumiza utaumia sana..
Lakini Mungu ukimpa Moyo wako hawezi kukudisappoint..
Hata kama utakuwa disappointed na wengine bado utakuwa na nguvu maana yupo Mungu ambaye umempa nafasi Kubwa na ni WA thamani kuliko vyote.
Na Mungu ukimpa nafasi yote Moyoni, basi hapatakuwa na uwazi wa kubeba watu waliokuumiza.
Nakuwa peke yangu muda mwingi , faraja yangu ni nyimbo na kumtegemea Mungu .
Yesu ni wimbo wangu
Furaha ya moyo wangu
Yesu ni wimbo wangu
Furaha ya moyo wangu Yesu
Yesu rafiki yangu Mungu wangu
We ndio mpenzi wangu sitakuacha
Niende wapi nimekuchagua wewe
Nifuate nani kwako kunautulivu





