Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Hapana sis mbona mie kembamba tu!!Ety ccy Antonnia mtu akiwa na shingo kama yako Kuna uwezekano akawa mnene sana
Hapana sis mbona mie kembamba tu!!Ety ccy Antonnia mtu akiwa na shingo kama yako Kuna uwezekano akawa mnene sana
Hapana siko poa njaa inauma sis! 😉Salama ccy uko poa....
OC imekuja naimega kidogoNdiokwanzaaa tarehe 5!! Utaisoma namba awamu hii!!
TumeshaachanaHabari za wewe sis ake muke halali ya Carrasco putin!!![]()
Unajua kitambi kinatokana na nnHahahaa!! Halafu kinataka kuanza tena!![]()
Nikitoka jioni nitakuwekea kuleKwahyo tunafanyaje sasa mdogo wangu
Wakati uko unalialia bando hapo nyau wewe hebu nawe mara moja moja rusha vocha humu kha!OC imekuja naimega kidogo
Hela ya chanjo
Hela ya semina naanzaje kuisoma namba
Sitaki jua mie!!Unajua kitambi kinatokana na nn
Asante mdogo wangu ubarikiwe sana mrembo mwenye masters mwaka huu hauishi unaolewa usisahau kunipa Kadi tuNikitoka jioni nitakuwekea kule
Gesi imeishaWakati uko unalialia bando hapo nyau wewe hebu nawe mara moja moja rusha vocha humu kha!
Akya naniAsante mdogo wangu ubarikiwe sana mrembo mwenye masters mwaka huu hauishi unaolewa usisahau kunipa Kadi tu
Unalo !!Gesi imeisha
Trei ya mayai yamebak 6
Unit za umeme zimebak 8
Naogopa kupika kwenye pressure cooker
Fridge siwashi mpka ifike trh 23 nitakuwa nimeuza hili fridge
Nunua tambi hapo zikusogezeGesi imeisha
Trei ya mayai yamebak 6
Unit za umeme zimebak 8
Naogopa kupika kwenye pressure cooker
Fridge siwashi mpka ifike trh 23 nitakuwa nimeuza hili fridge
Akya nani
Master nitolee wapi mie
Na hiyo ndoa labda ya miujiza maana hata boyfriend sina.




hvi unakosaje boyfriend ww mrembo wanaume wote tuliojaa au unachagua sanaNiko hapa nimeshafikaAkya nani
Master nitolee wapi mie
Na hiyo ndoa labda ya miujiza maana hata boyfriend sina😂😂 .
Watakuja kukufanya kitu mbaya walai unavopenda kuhongwa mwanaume weye!! Shaurilo!!Sugar mamy si wapo lkn acha nipambanane![]()
Uboss nautoa wapi madam mimi kabwela tuu, maboss wapo bana
Nifundishe kupika tambi jaman kuna mtu alikuja home hapa nikaona anapika tambi kwenye flampen kaweka hoho karoti viungo kama vyote zilikuwa tamu balaa wakati mm tambi napika naweka maji naziweka humo maji yakiisha nakulaNunua tambi hapo zikusogeze
Maharage chemsha kwa chupa ya chai upunguze matumizi ya umeme


Tulia ww hyo ni nguvu ya mkongoWatakuja kukufanya kitu mbaya walai unavopenda kuhongwa mwanaume weye!! Shaurilo!!

