Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkaka alienda akashindwa 🙌

Akanipigia mimi, eti yule jamaa anaweza kukusikiliza .. huo muda mie nimemute kwangu nasikilizia

Nikaenda mtu na sauti yangu, yenye unyenyekevu ikiamuaga Lenie

Akapoa kidogo yule jamaa
Ila hasira mingi, akapanick tena.. mtu namlisha namlipia kodi anaenda to…m na boda boda.. akawaka upya 🙌

Mengine siwezi andika.. sio mazuri hata…

Ila nimeogopa sana 😂
Sitaki mchezo na wanaume
Khaaa
Hao watu wana panick mbaya sanaaa

Uzuri, nilifanikiwa mtuliza
The rest hayanihusu
Na jana imekuwa ya kwanza na mwisho.. isije siku nyingine kikarushwa kitu kikaniumiza kimasihara 🙌🙌
Wee huyo boda boda ajiandae hapo, hilo halijaisha vzuri asije kurelax😂

Hongera shogare kwa kutuliza, me hyo sauti yako sina mashaka nayo kabisa, hata mtu awe mgumu vipi akiiskia ni kama anapata uponyaji basi hasira lazima zipoe😂😂

Eeh ugomvi wa kushikiana silaha au hata wa ngumi haifai kuingilia kizembe, maana unaweza jikuta na wewe msamaria mwema unachanganywa humo humo unabaki kuuguza majeraha
 
Shetani alimpitia mtu 😂😂 Shetani kampitia mtu, shetani huyo huyo akamsahaulisha mtu ushahidi… mtu zikawa 40 za mwizi zimefika 🙌🙌🙌


Sahivi watu washakula mshahara wanakaribia kuumaliza 😂😂 hamna hata cha kunikeep sana busy,,
Nitakuwa naenda kunawa uso
Ila shetani nae anapenda kupitia watu sijui kwanini. Kwani hawezi kujipitia zake tu kimya kimya akaenda safari zake mwenyewe hadi apitie wengine jaman
Au anapenda kampani za watu ndio maana anawapitia waende wote

Nitakua nakutumia visticker uwe unacheka kupunguza usingz
 
Wee huyo boda boda ajiandae hapo, hilo halijaisha vzuri asije kurelax😂

Hongera shogare kwa kutuliza, me hyo sauti yako sina mashaka nayo kabisa, hata mtu awe mgumu vipi akiiskia ni kama anapata uponyaji basi hasira lazima zipoe😂😂

Eeh ugomvi wa kushikiana silaha au hata wa ngumi haifai kuingilia kizembe, maana unaweza jikuta na wewe msamaria mwema unachanganywa humo humo unabaki kuuguza majeraha
😂😂😂🙌 boda anaweza bamizwa,, madogo wa chuga jau sanaaa


Eti ananiambia D muulize akakwambie kwann amekipeleka nje, Kwani mm sina 😂😂🙌 mtu namgharamikia kila kitu …

Nikamwambia relax
Then exhale
Bla bla kibao hapo kati, jamaa akapoa kidogo.. hadi huruma 🙌 akakaa chini
Akanambia nimekuelewa, nenda na Samahani kwa usumbufu
Nikasepa 😂😂😂😂

Hii sauti kuna nyakati me mwenyewe siielewi🙌
Kuna siku mama alinambia kaza sauti ukiongea na mm 😂😂😂🙌
 
Jamaa alikuwa sahihi kukuita. Unajua kwenye situation kama hiyo unaangalia mtu ambaye wanasikilizana huyo akienda ana probability kubwa ya kusikilizwa.

🤣🤣🤣 Eti umeogopa.

Kweli unaweza kwenda kwa lengo Zuri tu la kuamua ila unashangaa unaumizwa.
Kweli ww ni mnoma, yaani ulimtuliza mwamba akakaa kwa kutulia
Sure
Ila watu wa Arusha wana hasira jamani
Ni vile tu sio famous kama wakurya,, ila na wao mori zikipanda moto wake ni balaa..

Nimeogopa sana 😂😂 nyie wanaume when it comes to cheating issues mnakuwaga wakatili sanaaa …

Mwisho jana nakwambia
Hapa kuna muda nawaza tumwambie faza house aongee na mpangaji wake, siku wasije butuana mtu akateleza kwenye tiles akajiKanumba..

Maana nilivyohisi jana ni kama dada ameelewa sana show ya boda boda 😂😂😂🙌
 
Ila shetani nae anapenda kupitia watu sijui kwanini. Kwani hawezi kujipitia zake tu kimya kimya akaenda safari zake mwenyewe hadi apitie wengine jaman
Au anapenda kampani za watu ndio maana anawapitia waende wote

Nitakua nakutumia visticker uwe unacheka kupunguza usingz
Shetani mtu mbad 😂

Nitasikiliza ile VN 😂😂😂
 
Mkaka alienda akashindwa

Akanipigia mimi, eti yule jamaa anaweza kukusikiliza .. huo muda mie nimemute kwangu nasikilizia

Nikaenda mtu na sauti yangu, yenye unyenyekevu ikiamuaga Lenie

Akapoa kidogo yule jamaa
Ila hasira mingi, akapanick tena.. mtu namlisha namlipia kodi anaenda to…m na boda boda.. akawaka upya

Mengine siwezi andika.. sio mazuri hata…

Ila nimeogopa sana
Sitaki mchezo na wanaume
Khaaa
Hao watu wana panick mbaya sanaaa

Uzuri, nilifanikiwa mtuliza
The rest hayanihusu
Na jana imekuwa ya kwanza na mwisho.. isije siku nyingine kikarushwa kitu kikaniumiza kimasihara
. Boda boda sijui wana nn hata, yaan ni Malaya mnooo. Khaaaah
 
Back
Top Bottom