Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nililala

Usiku mnene nikashtuka

Nikaitwa nikagombelezee ugomvi😂

Lenie jana ndio nimejua hawa wanaochomana visu kuna mengi walipitia 🙌🙌

Hapa ninahisi kuumwa kichwa cha usingizi

Smokers are fyakin dangerous
Jana nimeona
Khaaa
Mtu akikuvutia aisee anaweza kukuua hivi hivi🙌🙌🙌
Of all people waliona ww ndo unaweza amua?
 
Nililala

Usiku mnene nikashtuka

Nikaitwa nikagombelezee ugomvi😂

Lenie jana ndio nimejua hawa wanaochomana visu kuna mengi walipitia 🙌🙌

Hapa ninahisi kuumwa kichwa cha usingizi

Smokers are fyakin dangerous
Jana nimeona
Khaaa
Mtu akikuvutia aisee anaweza kukuua hivi hivi🙌🙌🙌
Ugomvi wa nini tena usiku usiku😂😂😂

Msuba haujawahi kuleta matokeo mazuri hata siku moja
Leo siku utaiona ndefu sana na huo usingz labda ujikeep busy
 
Nililala

Usiku mnene nikashtuka

Nikaitwa nikagombelezee ugomvi😂

Lenie jana ndio nimejua hawa wanaochomana visu kuna mengi walipitia 🙌🙌

Hapa ninahisi kuumwa kichwa cha usingizi

Smokers are fyakin dangerous
Jana nimeona
Khaaa
Mtu akikuvutia aisee anaweza kukuua hivi hivi🙌🙌🙌
Kati ya kazi ambayo huwa haiishi ni pamoja na kusuluhisha ugomvi..
Watu wakiamua kugombana ni hadi waamue wenyewe kuacha.
 
Of all people waliona ww ndo unaweza amua?
Mkaka alienda akashindwa 🙌

Akanipigia mimi, eti yule jamaa anaweza kukusikiliza .. huo muda mie nimemute kwangu nasikilizia

Nikaenda mtu na sauti yangu, yenye unyenyekevu ikiamuaga Lenie

Akapoa kidogo yule jamaa
Ila hasira mingi, akapanick tena.. mtu namlisha namlipia kodi anaenda to…m na boda boda.. akawaka upya 🙌

Mengine siwezi andika.. sio mazuri hata…

Ila nimeogopa sana 😂
Sitaki mchezo na wanaume
Khaaa
Hao watu wana panick mbaya sanaaa

Uzuri, nilifanikiwa mtuliza
The rest hayanihusu
Na jana imekuwa ya kwanza na mwisho.. isije siku nyingine kikarushwa kitu kikaniumiza kimasihara 🙌🙌
 
Mkaka alienda akashindwa 🙌

Akanipigia mimi, eti yule jamaa anaweza kukusikiliza .. huo muda mie nimemute kwangu nasikilizia

Nikaenda mtu na sauti yangu, yenye unyenyekevu ikiamuaga Lenie

Akapoa kidogo yule jamaa
Ila hasira mingi, akapanick tena.. mtu namlisha namlipia kodi anaenda to…m na boda boda.. akawaka upya 🙌

Mengine siwezi andika.. sio mazuri hata…

Ila nimeogopa sana 😂
Sitaki mchezo na wanaume
Khaaa
Hao watu wana panick mbaya sanaaa

Uzuri, nilifanikiwa mtuliza
The rest hayanihusu
Na jana imekuwa ya kwanza na mwisho.. isije siku nyingine kikarushwa kitu kikaniumiza kimasihara 🙌🙌
Jamaa alikuwa sahihi kukuita. Unajua kwenye situation kama hiyo unaangalia mtu ambaye wanasikilizana huyo akienda ana probability kubwa ya kusikilizwa.

🤣🤣🤣 Eti umeogopa.

Kweli unaweza kwenda kwa lengo Zuri tu la kuamua ila unashangaa unaumizwa.
Kweli ww ni mnoma, yaani ulimtuliza mwamba akakaa kwa kutulia
 
Ugomvi wa nini tena usiku usiku😂😂😂

Msuba haujawahi kuleta matokeo mazuri hata siku moja
Leo siku utaiona ndefu sana na huo usingz labda ujikeep busy
Shetani alimpitia mtu 😂😂 Shetani kampitia mtu, shetani huyo huyo akamsahaulisha mtu ushahidi… mtu zikawa 40 za mwizi zimefika 🙌🙌🙌


Sahivi watu washakula mshahara wanakaribia kuumaliza 😂😂 hamna hata cha kunikeep sana busy,,
Nitakuwa naenda kunawa uso
 
Kati ya kazi ambayo huwa haiishi ni pamoja na kusuluhisha ugomvi..
Watu wakiamua kugombana ni hadi waamue wenyewe kuacha.
Sasa mmoja ana nguvu
Mwingine hana
Hapo lazima mtu atoke damu..

Yule dada ni mweupe
Si leo ataamka mwekundu?
Kwanza niliacha damu zinamtoka puani..

Uzuri mle ndani mnaweza maliza week hata 2 hata hamjakutana
Sitamani kukutana na yule kaka 🙌
 
Back
Top Bottom