bd unaendeleza kilinge mkuuZa kunifaa kilingeni
Unashangaa hapo
😂👊😀😀😀😀 Sio malamba hapo ccm
Nimeshaula umeishaaaPole shogaa jaman
Piga kazi, mshahara si unalipwa lakini😂😂
Wa mwezi ujao nialike tuule wote basi swahibaNimeshaula umeishaaa
Kazi zimeanza kuwa ngumu 😂😂😂
NikikumbukaWa mwezi ujao nialike tuule wote basi swahiba
Nitakukumbusha mimi wala usijaliNikikumbuka
Amina jirani, asante ubarikiwe pia jirani yanguImesha salama, Mungu akubarikie usiku mwema pia jirani..
Ndio maana unachoka na ndio kwanza j3🤣🤣🤣Nimeshaula umeishaaa
Kazi zimeanza kuwa ngumu 😂😂😂
😂😂😂Kuna sehemu napitaga
Sina ba wala bee
Busy na issue zangu ‘ hata kusalimia sisalimii 😂
Kumbe wananisororaa tu wale wadada 🙌🙌
Leo nikaendapo kupata huduma flani..
Katikati ya huduma dada mmoja akanambia’ sauti yako inaonyesha we ni mtu poa, nikamwambia kiasi tu 🤣
Akasema tunakuonaga unaringa sanaa , me nilikuwa nishapanga siku nikipata nafasi ya kukuongelesha nikuambie upunguze maringo 😂
Nikasema alooo 🙌🙌 aibu ikanishika,, kucheka nataka, kukasirika nataka 😂😂 nikamwambia tu dada mm sijui Kuringa, ila siwezi kuongea na mtu nisiyemjua wala kumzoea 🙌
Nikakumbuka yale yale ‘ongea na watu usikie story zinazokuhusu ambazo hata we huna na huzijui🤣🤣 Lenie
Aisee....jirani na sie tusikie sauti kidogo.Kuna sehemu napitaga
Sina ba wala bee
Busy na issue zangu ‘ hata kusalimia sisalimii 😂
Kumbe wananisororaa tu wale wadada 🙌🙌
Leo nikaendapo kupata huduma flani..
Katikati ya huduma dada mmoja akanambia’ sauti yako inaonyesha we ni mtu poa, nikamwambia kiasi tu 🤣
Akasema tunakuonaga unaringa sanaa , me nilikuwa nishapanga siku nikipata nafasi ya kukuongelesha nikuambie upunguze maringo 😂
Nikasema alooo 🙌🙌 aibu ikanishika,, kucheka nataka, kukasirika nataka 😂😂 nikamwambia tu dada mm sijui Kuringa, ila siwezi kuongea na mtu nisiyemjua wala kumzoea 🙌
Nikakumbuka yale yale ‘ongea na watu usikie story zinazokuhusu ambazo hata we huna na huzijui🤣🤣 Lenie
Eeh tuisikie hiyo sauti iliyosifiwaAisee....jirani na sie tusikie sauti kidogo.
Atakuwa poa jirani...ngoja tusubiri, anaweza kupost voicenote..😁Eeh tuisikie hiyo sauti iliyosifiwa
Ila kwa comments zake me namuona ni mtu poa kweli
Aki sauti ikinivutia nitaiweka kama ringtone ya simu yangu😅Atakuwa poa jirani...ngoja tusubiri, anaweza kupost voicenote..😁
😂😂😂
Atakua anamalizia kuosha vyombo