Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,272
Yani mie Achilia hawa micharuko mabinti walio Wengi huwa nakaa nao vizuri tunakua kama nduguu Wengi huwa wanaondoka wakipata wachumba na wakiondoka tunaendelea kuwasimilia vizuri tu na wao sikuhizi ndio wananitafutia HG wengine huko makwao! Kama huyu nilienae ni Mdogo wa damu wa binti mmoja aliondoka kuolewa baada ya kupata mchumba kutokea hapahapa! Sema huyu dogo ake sijui ana maruhanii sijui mapepoo ni anatokewa na maruweruwe hadi nimeogopa 🙌🙌 Siku ya kufungua naenda kumpandisha gari 🙌🙌Hiyo dhambi siwezi😂😂😂
Ila ni kazi nzuri sana.watu nikiwaambia natafuta kazi ya uhousegirl wanacheka,
Hawajui tu ilivyo nzuri.


