Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Huyu naye anamimina ..yaani nyama zinaoga kwenye mafuta kama zipo mtoni ila mara mia amwage dada kuliko hawa wapuuzi wamesonga mafuta yote ya elfu 37🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Tena umenikumbusha Hebu niongee na walimu wanaorudi likizo wanipitie mafuta huko singida walau dumu 2!
Hapo bado dadaa wa Kazi hajamimina kama yanaokotwa tu jamani uwiiiii!!