Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
😂😂😂 🙌
Naomba nikae chini nicheke kwanza🤣🤣🤣🤣
Naomba nikae chini nicheke kwanza🤣🤣🤣🤣
Weeee kumbe niniUzuri wa mwanamke sio sura![]()
😁😁😁 macho ya muonajiWeeee kumbe nini
hivi siku hizi voda wanakunywa bundle au inakuwaje mbona sielewi nini kinaendela kila saa nakutana 75% imeenda






Nisamehe
Mie ni mtetezi sana wa voda ila kwa mwendo huu wananiweza. Au na bundle lina tozo 🥹🥹
Hebu jichagulie mwenyewe kitu cha mimi kukufanyaNisamehe
Ushuani huko
Hebu jichagulie mwenyewe kitu cha mimi kukufanya
Jamani....nilijua umepumzika 😟hujaniaga 😔😔😔
😒😒😒😒 sikuwa nime puumzika hataJamani....nilijua umepumzika 😟
Njia nzuri sana ya kuepuka majukumu, ungemuaga hachelewi kusema ukirudi umletee zawadi ya kahawa kilo 1...Jamani....nilijua umepumzika 😟
AiseeNimelegezwa kihisia 🤣🤣🤣🤣