National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,203
Pole sana afisa. Mungu mwema amekuponyaHabari wanaselfika
Alhamisi nlipata mtihan kidogo barabarani nlipata ajali nlkua abiria kwenye bajaj mbaya zaidi nilikaa kwenye siti ya kiherehere
Nashukuru naendelea vizuri nlipata cut ya kioo uson na majeraha ya goti
Alamsiki
Wkend imeisha poa sana jiraniHujambo jirani,..weekend yako inaendaje.
National Anthem umesahau I'm a jeep with an open roof type of girl???π₯΄π₯΄Lizzy hii gari ikifukie kwanza ππView attachment 2337766
Naam, mjoli....Roho Wa Mungu kila siku yupo nasi kila nukta ya pumzi, kama neno la Mungu linavyosema hatotuacha paka mwisho wa dahari na hayo mafuta aliyo yaachia ndani yetu huyo Roho wa kweli. Sema Mungu ametutoa wengine kwa deep deepest dark darkness ππ wakati mwingine ukisha ji mix na old wine basi kidogo unapata moto hasa makazini ili ziende lazima wakati mwingine uwe wa moto. Ila Mungu yuko kazini bado ana repair chombo chake , maana hata hapa tulipo ni kwa neema wengine huenda ingekuwa history zamani, .. toka jana haka ka wimbo hakajatoka masikioni mwangu, nikilala nikiamka ninako tuView attachment 2337742
Ooooh poleeeeeh sanaa, ugua poleeeee.Habari wanaselfika
Alhamisi nlipata mtihan kidogo barabarani nlipata ajali nlkua abiria kwenye bajaj mbaya zaidi nilikaa kwenye siti ya kiherehere
Nashukuru naendelea vizuri nlipata cut ya kioo uson na majeraha ya goti
Alamsiki
Imeisha hiyo π π€ vp lakini haipunguwi punguwi ifike hata 20ml nimhonge Lizzy ili hiyo 6 nipoozee machungu hapo johari rotanaFanya basi hata Audi A1 kama itakupendeza alafu kama Lizzy ataielewa nitakuambia ππView attachment 2337775
Swalama sana bro.......Mungu ni mwema kaka, habari za siku nyingi
Wewe ni jeeplover mwenzangu?National Anthem umesahau I'm a jeep with an open roof type of girl???π₯΄π₯΄
Au unataka nipewe hili ili uje kuchukua wewe baadae???
Pole sana!!!Habari wanaselfika
Alhamisi nlipata mtihan kidogo barabarani nlipata ajali nlkua abiria kwenye bajaj mbaya zaidi nilikaa kwenye siti ya kiherehere
Nashukuru naendelea vizuri nlipata cut ya kioo uson na majeraha ya goti
Alamsiki
ππππ Jeep atowe wapi hela , itakuwa ni uonevu tu .. hiyo yenyewe kanyoosha mikono tayari. Vigezo na masharti kaisha fail..National Anthem umesahau I'm a jeep with an open roof type of girl???π₯΄π₯΄
Au unataka nipewe hili ili uje kuchukua wewe baadae???
Pole sana mjumbe! Mungu akuponye haraka urejee kwenye afya njema mkuu!!Habari wanaselfika
Alhamisi nlipata mtihan kidogo barabarani nlipata ajali nlkua abiria kwenye bajaj mbaya zaidi nilikaa kwenye siti ya kiherehere
Nashukuru naendelea vizuri nlipata cut ya kioo uson na majeraha ya goti
Alamsiki
Iv unajua mie ni engineer?? IT kwangu ni kitu kidogo, hebu nifanye mafekecheee hiyo selfie ilonipita irudiwe automatically,Eendiwoooooooo irudiwee irudiwee mr Vocha Mjep samaleko!
Shoss umekosa bonge la selfii la ujana la mr Vocha lilikua nooouuummmmmmmaaaaa
Forever and always βοΈβοΈβοΈ