Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aru
Arusha kuna wataalamu wana fanya modification inakuwa kama hizi. Nimeona watu waili Dar es Salaam wanazo na walizifanyia modification Arusha, ingawa sio harisi na OG kama hii.. kwenye jeep nayo ielewa ingawa ni parefu naishi kuziona yutube nii hiiView attachment 2337790
Arusha sehemu gani mkuu?
Una jina biashata yao?

Japo mimi ni mpenzi wa jeep wrangler zaidi
 
Aru

Sha sehemu gani mkuu?
Una jina biashata yao?

Japo mimi ni mpenzi wa jeep wrangler zaidi
Nitakuulizia kwa jamaa alafu nitakuambia ni sehemu gani wanafanyia hicho kitu. Arusha wanajitahidi sana kwa modification ya magari. Jeep wrangler ni nzuri sana, na adavantage ingine ya hizo gari naona ni imara sana hazina matatizo kama gari zingine, nadra kuyakuta garage.
 
Heeeeey! Basi tena nimeshindwa msije niuwa na presha mi mwenyewe naendesha ka vanguard! 🙌 Nimesalimu Lizzy huyu dalali wako National Anthem ananikomoa 160ml si robo ya mtaji huo? Nehi nehi! 🙆🏻‍♂️🏃
National Anthem sio dalali bana!! He is just looking after my interest.😊

Alafu kama unakata tamaa haraka hivyo bora uendelee na mambo mengine tu.
 
Nitakuulizia kwa jamaa alafu nitakuambia ni sehemu gani wanafanyia hicho kitu. Arusha wanajitahidi sana kwa modification ya magari. Jeep wrangler ni nzuri sana, na adavantage ingine ya hizo gari naona ni imara sana hazina matatizo kama gari zingine, nadra kuyakuta garage.
Umewahi kuona hata body yake kuu kuu mahsli?
Kamwe huwezi kuiona gerege ikiwa imeachwa
 
Nitakuulizia kwa jamaa alafu nitakuambia ni sehemu gani wanafanyia hicho kitu. Arusha wanajitahidi sana kwa modification ya magari. Jeep wrangler ni nzuri sana, na adavantage ingine ya hizo gari naona ni imara sana hazina matatizo kama gari zingine, nadra kuyakuta garage.
Kuna hawa jamaa wanajiita CAPITAL ZONE 4X4
wako Sakina Arusha, lakini wao wame base kwenye nissani patrol, landcruiser na landrover
 
Kama nakuona vile,unavyodigidala baada ya kutoka kuoga
sijaoga wee baridi imeanza kuchapa tangu niko Njombe, nafika S/Tanga sina hali, natetemeka vibayaa.

Hapa enyewe nimevaa trucksut na koti jingne juu, na nikifka kwa bed najifunika Duvet,

Nachat huku mikono inatetema, Songea kuna baridi woiiiiiiiih
 
Hapana sijawai kukuta hizi gari juu ya mawe, hata garage nazopeleka gari sijawai kuta Jeep 😀😀 nakutaga brand karibia zote ila sio Jeep.


North America is the current leader in regards to Jeep markets. The continent with the most Jeep selling countries is Europe (40 countries), which covers about half of the Jeep selling countries. China is Jeep's largest market outside of North America.26 Sept 2016
 
sijaoga wee baridi imeanza kuchapa tangu niko Njombe, nafika S/Tanga sina hali, natetemeka vibayaa.

Hapa enyewe nimevaa trucksut na koti jingne juu, na nikifka kwa bed najifunika Duvet,

Nachat huku mikono inatetema, Songea kuna baridi woiiiiiiiih
Mie siogagi kila siku,mwendo wa passport tu

Eti unaweza fananisha na la mbeya?

Nikiwa mbeya naoga ya baridi,
 
Back
Top Bottom