Selfika na JF: Snap it. Show it

Watafiti wengi wanakosoa data zetu haswa upande wa research.
 
Kumekuchaaaaaaaaaah JF, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka hadi baas, vipi ni hili tyuuh ndo umetaka kuu taarifu umma wa Selfika au una lingine tenaaa?? Nikusaidie mwenyewe???
 
๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ
Ni kikohozi kilinibana ndugu yangu.

Habari yako braza
 
Achana na tungi huko kuna vibaka njoo kibada CRDB uone watu wanavyokamuliwa
Umalaya ( uhongaji ) na mfanikio vitu viwili tofauti, kama ni manzi ( mke ) hawezi kukufanya ATM ila mtajenga kitu kikubwa zaidi ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ basi nitakosa utelezi maisha yangu yote maana sitoi hata mia kwa Ke mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ