Vp huko bariadi mmeshahesabiwa maana makarni ukipita migahawani wamejazana ila kuhesabu hatuwaoni!Nimemuelek3za karani wako Antonnia afike kwenye kaya yako leo mapema nadhani yuko njiani vuta subira leo taarifa zako zitachukuliwa chief
Habari za asubihi
A new day has come! In all darkness's there's always a light! A smile is always a good answer. Let your fears dwell in yesterday's wind! Good morning to you Antonnia View attachment 2336049
Selfika kwanza ndio tukupe kitiHodi humu..mgeni mie naomba kigoda
Wakihesabiana wao inatosha 😏Good morning kwa wanaselfika wote! Saint Anne Lovelovie Mjep Lizzy Depal Lenie Shimba ya Buyenze Ntiluseswa Wigelekelo raraa reree sophy27 National Anthem Post M-alone Mshana Jr Carrasco putin cocastic mawardat Surbi ! MPAKA SASA JUMAMOSI BADO SIJAHESABIWA NA DALILI HAZIONESHI KAMA NTAHESABIWA VP WENZANGU MMESHAHESABIWA!
Sijui kama nime hesabiwa au sijahesabiwa , ingawa nilipenda wanibahatishe mahala nihesabiwe ila ndio ivyo tusio na makazi wametutenga 😵💫😵💫😵💫Wakihesabiana wao inatosha 😏
Nimeheaabiwa kwa niaba yako auntWakihesabiana wao inatosha 😏
Na ulivyo kafupi...Sijahesabiwa… sioni dalili 😂🤸🏻♀️🤸🏻♀️
Ila shega tu, namba ya nida si ninayo? Mie ni Mtz pyuaaaaa
Hili zoezi ni bora mabalozi na wenyeviti wangepita kuhesabu watu wao, then makarani wakakuta data zote ofisi za serikali za mitaa, ndipo waanze ku feed data kwenye vishikwambi vyao,watu wengi wanalalama hawajapita kuwahesabu..Good morning kwa wanaselfika wote! Saint Anne Lovelovie Mjep Lizzy Depal Lenie Shimba ya Buyenze Ntiluseswa Wigelekelo raraa reree sophy27 National Anthem Post M-alone Mshana Jr Carrasco putin cocastic mawardat Surbi ! MPAKA SASA JUMAMOSI BADO SIJAHESABIWA NA DALILI HAZIONESHI KAMA NTAHESABIWA VP WENZANGU MMESHAHESABIWA!
Mtu anakaa matejoo unafikiri kuna karani anaataka kupita huko? 😂😂Na ulivyo kafupi...
Bora hata hujahesabiwa tu🏃🏃🏃🏃🏃
Wewe na urefu wako lakini kwa kifua nakufikia 🤸🏻♀️Na ulivyo kafupi...
Bora hata hujahesabiwa tu🏃🏃🏃🏃🏃
😂😂😂 kwahiyo nihamie wapi ili nikahesabiwe?Mtu anakaa matejoo unafikiri kuna karani anaataka kupita huko? 😂😂
Hapa Bariadi Simiyu zoezi limeenda vzr makarani wamefanya kazi yao kwa welendi mkubwa mimi nilihesabiwa tarehe 23 mkuuVp huko bariadi mmeshahesabiwa maana makarni ukipita migahawani wamejazana ila kuhesabu hatuwaoni!
Njiro moromboo kijenge ngulelo majengo sakina usa tengeru ilboru uzunguni makao mapya kisongo!😂😂😂 kwahiyo nihamie wapi ili nikahesabiwe?
Huko usalama ni mzuri ila kwa kina Depal huko matejoo na unga limited na ngarenaro wanakaba mchana kweupee!Hapa Bariadi Simiyu zoezi limeenda vzr makarani wamefanya kazi yao kwa welendi mkubwa mimi nilihesabiwa tarehe 23 mkuu
Nina hakika hata ndugu yangu T 1990 ELY kama amefikiwa na karani
Sasa mbona Njiro hatujahesabiwa? Hata ofisini hawajapita… nyumbani pale labda gate hawakufunguliwa..Njiro moromboo kijenge ngulelo majengo sakina usa tengeru ilboru uzunguni makao mapya kisongo!