Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Hahahhah kikubwa kageuka etiInatosha hivyo hivyo...
Hahahhah kikubwa kageuka etiInatosha hivyo hivyo...
Kwamba?Prove me wrong..
Na wewe umetamani nywele nikukatie
AmeeeenHallelujah
Yaani acha tu,Hakiiii nimecheka![]()
Tunajishaua ooh napumzisha kichwa kumbe mchawi pesa




Sa
Sawa cheupe; nikomeshe cheusi mangara


Mama mchungaji unaenda kunishinda ujue
Unaloga nini sasaNi wivu tu
Naanza kuloga soon
Mkaka bana
Wadada sisi tunapendana siku zote
Mama mchungaji alijua sina nywele kila siku ananiona na mkoreaHivi auntie kwanini lakiniiii![]()

akaniuliza niko na mkataba na mkoreaNaogopaa 🙈 watu watasikiaOohh kama ni mkaka ngoja nikusaidie,, ninong'oneze ni nani..
silent killers
Sasa tatizo uogaa.
Mimi jamani naogopaaa![]()
Mahindii yangu yakuweUnaloga nini sasa
Ndo na hapo na mimi sielewi; nimetuna tu kama baunsa; huku chini ni kama nimedondoka bafuni jamaniiiMama mchungaji mnyaki gani wewe huna wowowo
Nitapambana na hali 🚶Heheh bahati mbaya hakuna twisheni ya uoga ngekurikomendia mwalimu
Hahahhah kikubwa kageuka eti
Hahahahaha nimecheka sanaNdo na hapo na mimi sielewi; nimetuna tu kama baunsa; huku chini ni kama nimedondoka bafuni jamaniii