Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,543
HahahaaaHebu ukuje pm eti!!
Najua wewe hujui utani, kitalu naja kukipanda mimi jamani
Huwa nacheka sana ukiniambia sijui utani
Nakumbuka mbali.
HahahaaaHebu ukuje pm eti!!
Najua wewe hujui utani, kitalu naja kukipanda mimi jamani
Unataka viboko eeh?Nakuja
Nakunywaga mirinda nyeusi tuuu jamani
Na wine kidogo bila shaka
Leo kweli nipo rohoni; sipitwi na picha. Dada kishundu kimetuna
Ngoja ninywe k vant kwanza 😂😂Funguka dada!!
Usione soo sema nayeee!!!![]()
Auntie nigawie nywele




Kumtoa mwenzio nje ya mada tu
Naona upo kwenye utalii madame
Dada huyooo 😘😘
Khaaa kumbe nani jamaniWe vipi? Sasa mbona unaniitia watu wako![]()

si ndio nimeona mwanaume aliyetupia pichani wapi hapo??
Mbona hapo sipo tangaUkiwa Tanga huwa wapendeza kweli![]()
Ebu mwambie anipunguzie kidogoLeo kweli nipo rohoni; sipitwi na picha. Dada kishundu kimetuna
Afande habari
Leo kweli nipo rohoni; sipitwi na picha. Dada kishundu kimetuna





