Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hahah sijamsema vibaya huyo aliepost hela nilivyosema mbona hela chafu, point yangu yani tuweke japo hela vizuri yani, ngojeni niwaonyeshe mfano hiyo pic nimpegia apo chini, mi sipendagi yani labda niende sehem af nirudishiwe pesa zimechafuka chafuka
IMG_20191107_132002.jpeg
 
hahah sijamsema vibaya huyo aliepost hela nilivyosema mbona hela chafu, point yangu yani tuweke japo hela vizuri yani, ngojeni niwaonyeshe mfano hiyo pic nimpegia apo chini, mi sipendagi yani labda niende sehem af nirudishiwe pesa zimechafuka chafukaView attachment 1256419
Haya mambo ya kudolishiana pesa wakati mie nina ka jero kangu hapa sio mazuri kabisa.
 
Mkuu hizo elfu kumi ulivyozipanga umehakikisha hao tembo wamekaa sawa yaani wote wameangalia upande mmoja??
hahah sijamsema vibaya huyo aliepost hela nilivyosema mbona hela chafu, point yangu yani tuweke japo hela vizuri yani, ngojeni niwaonyeshe mfano hiyo pic nimpegia apo chini, mi sipendagi yani labda niende sehem af nirudishiwe pesa zimechafuka chafukaView attachment 1256419
 
Back
Top Bottom