Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Mkaka au Mdada?? Nikusaidie??
Kuna mtu hapa nimempenda sijui nimfate PM
Lakini Naogopaaaaaa![]()
Kuna mtu hapa nimempenda sijui nimfate PM
Lakini Naogopaaaaaa![]()
Kuna mtu hapa nimempenda sijui nimfate PM
Lakini Naogopaaaaaa![]()
Nitume mimi jamaniNgoja ninywe k vant kwanza![]()
Mtaani kwetu darisalama apo
😂😂😂😂 banaa ye hajatupia leo wala JanaKhaaa kumbe nani jamanisi ndio nimeona mwanaume aliyetupia picha
Wa ndani mkuuNaona upo kwenye utalii madame
Nitamtag PM kwako 😂Nitume mimi jamani
Hata kama sijakunywa mirinda nyeusi nasemaa tuu
Nishasahau jamani ulikuwa wapi mda wote usiniulize
Unakumbuka siku ile ulivyogeuka ulitubinulia nini?Hapana auntie unalo ebu angalia no 8 ilivyojichora mimi mwanao na hii no 1 yangu unaniachaje![]()
Hahahaaa
Huwa nacheka sana ukiniambia sijui utani
Nakumbuka mbali.







Inawezekana ukawa ni wewe 😉fanya kama unanitaja mimi
Mie sio muoga.
Nisamehe mimi jamaniUnataka viboko eeh?
Hapna mkuuNa wine kidogo bila shaka
?
Hivi tunazungumzia nini eti jamani