Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
basi hongera sana aisee
Ndaga fijo
Ebu acheni ukabila jamani naloli naloliEna nkamu
Picha za mtandaoni hiziMjeda bwana
Siwezi kukusahau...if you know what i mean!
Mama muinjili kwani huwa una mkataba na mkorea?




Mama mchungaji nimecheka mnooo 
@Sakayo ukuje umuone mjeda
Curvy
. Siku zote mi nikajuga wewe chibonge mkuu
Huyo mdogo angu mkuuCurvy. Siku zote mi nikajuga wewe chibonge mkuu

mimi mwenyewe kibonge mzitoKitalu changu naambiwa kipo sikioni mwaka umeisha!!Mama ake
Kuna kitalu chako;
Na sasa hivi nimeshanunua pump ya kumwaigilia.
Kwanini hutaki kuja kukilima lakini
Nishatoka huko mkuu, huko ni kwa wazeeMwongo we haki ngaii we si upo kambaland kitui.
karibu mkuu. Bado nakumbuka zile lips nzuri, najua zinapenda soft drinks
Woyooooooo