Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi juzi nimejaribu ikatoa uji ule sikjui.hangaika weee lakini wapi.. nikarudi kwenye mkaa.
Hivi vi oven navyo vinadhalilisha watu,hasa mimi niliyekulia kijijini.


Nimetumia blue band robo,sukari robo,mayai 7 na unga nusu
Ukitaka iwe sponge sana kama hiyo unaweza kuongeza mayai...

Changanya sukari na blue band,
Anza kuweka yai Moja Moja huku unakoroga
Weka baking powder..
Nimetumia limao kuondoa harufu(unaweza tumia vanilla)
Baadaye unga.
Safi kabisa,wingi wa mayai haufanyi keki kuwa bora,

Kuna ticha wangu aisee alinifundisha unga robo mayai 8,

Nilivyogundua tu nikaachana na somo lake.
 
Lenie ujue mie nakoelekea naweza sahau kupika 🤣🤣🤣

Maana siku nikipika cha muda mrefu ni makande…

Pilau mpk mashetani yaamke

Siku nyingine nitoke kwa muhindi, nipitie kula ndio nishuke home

Ama nifike home nianze na tumayai na soseji, ama samaki nimchemeshe, au velvet cake na chai

Chapati za maji na maini/ chai / soda


Yan tokea dogo aondoke mle ndani siku niliyopika kitu cha kuita chakula ni kande nilipika july mwishoni .

Mama akijua 🤣
Atanisema yule mwanamke hadi nisuse nimkatie simu
Na hujaoroshesha zile slope za last week ulivyofululiza😂😂 BT

Tafuta hela didi ake ili ule unachotaka sio unachopika
 
Mzungu wao eti amefunga Leo
JamiiForums163290733.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom