ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,562
- 126,989
Taratibu unakuja, hadi kuutembelea uzi wetu manake tayari unatukubali...🔥Chesii team ya ndani 🔥
Aseno ya nje 😂😂😂😂
Taratibu unakuja, hadi kuutembelea uzi wetu manake tayari unatukubali...🔥Chesii team ya ndani 🔥
Aseno ya nje 😂😂😂😂
Hata na nimesahau 🚮Acha jeuri we bint. Sema najua hizo hasira zimechanganyika za 250k🤣🤣
Supermarket ile ya kule karibu na Kilombero hivi bado ipogo?
Village wanabei za watalii wale, labda uingie window shopping
[emoji23]Nikifanya nitaleta mrejesho hata kama litakuwa boko
Kaa hapo 😅😅😅Taratibu unakuja, hadi kuutembelea uzi wetu manake tayari unatukubali...🔥
Vipi huko kwa Mkapa[emoji23]
Unaleta tu,
Mimi nakoseaga mara nyingi tu.. Kuna siku naunguza,kuna siku natoa ngumu kama mkate wa wakinga[emoji1787]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ooh im happy for you
HahaaHata na nimesahau 🚮
Utu ni kipimo cha utulivu 😂😂😂
Village nilinunua kakorosho kadogo kwa 7500, kisa kana pilipili..
Kule ni shoppers, bado kupo
Yan nitoke Huku hAdi Kilombero 😂😂 weeee
Unavyonipenda sasa!Vipi huko kwa Mkapa
Mzungu kafanyaje[emoji1787]
Nipe mchapo dogo langu kipenzi
Kuset moto bado chenga.Ooh im happy for you
Utaizoea tu
Delicious
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Umeamua kujinenepesha ndani ya cku 2 [emoji23]
Hakiwezi KabisaSasa si kitaingia mchanga?
Najuaga tunadandiaHahaa
Sema kajiondolea pt3[emoji1787]
Ni mbalii lakini
Tulikua tunaenda shopping huko since wako na bei nzuri sometimes offer kama zote.
Nitakuulizia kwa mtu, anaweza kua na konekshen
AiseeChesii team ya ndani 🔥
Aseno ya nje 😂😂😂😂
Naachaje kukupendaUna
Unavyonipenda sasa!
Nilijua tu utaniquote[emoji1787]
Mzungu ameruka sarakasi.
poa vipi wewe ?Mtoto mpole
Mambo
Shemekiii[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Shikamoo shemejiShemekiii