Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Ili ubalance vizuri ndio uolewe na wahuko sasa!!Nataka wenzangu na sisi wa hiyo mikoa ambao nao kupika chenga ili tubalance.
Watu wa pwani na huko Tanga sitaki..watanidhalilisha.
Ili ubalance vizuri ndio uolewe na wahuko sasa!!Nataka wenzangu na sisi wa hiyo mikoa ambao nao kupika chenga ili tubalance.
Watu wa pwani na huko Tanga sitaki..watanidhalilisha.
🤣🤣🤣
Ah wapiIli ubalance vizuri ndio uolewe na wahuko sasa!!

Safi sana, cake imetoka vizuri sana...
Khakhakhaaaa!! Unaogopa buree tu si unajifunza jamani!!Ah wapi
Sipo tayari kudhalilika![]()
Sema chipsi nusu haziishiUkipata mpenzi wa kukubembeleza kula, si ajabu utashindilia ugali ngamia hakatizi...

Chipsi nusu na robo na mirinda nyeusi unamaliza...Sema chipsi nusu haziishi![]()
Mimi juzi nimejaribu ikatoa uji ule sikjui😂😂😂.hangaika weee lakini wapi.. nikarudi kwenye mkaa.Saint Anne naomba recipe bana
Sensa day nijaribu..
Nina multi cooker yenye button ya cake.. nyingine bake.. ila hata kujaribu sijawahi
Unakuta umemaliza kupika,,unajiona umepika wee😂 wenzio wanakula halafu wanauliza nani alipika leo jamani amepika vibaya🤣💔Khakhakhaaaa!! Unaogopa buree tu si unajifunza jamani!!
Utajifunza bana!Unakuta umemaliza kupika,,unajiona umepika wee😂 wenzio wanakula halafu wanauliza nani alipika leo jamani amepika vibaya🤣💔
AmenSafi sana, cake imetoka vizuri sana...
Ah wapiUtajifunza bana!
Na unaweza kweri kweri huwa naona mambo yako humu!!Ah wapi
Yaani hapa Mimi ndio fundi kwetu imagine😂💔
Chaaaa!Na unaweza kweri kweri huwa naona mambo yako humu!!
Jirani unaendeleaje
Tuko busy na wkendSalam za jioni wadau..