Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lenie ujue mie nakoelekea naweza sahau kupika 🤣🤣🤣

Maana siku nikipika cha muda mrefu ni makande…

Pilau mpk mashetani yaamke

Siku nyingine nitoke kwa muhindi, nipitie kula ndio nishuke home

Ama nifike home nianze na tumayai na soseji, ama samaki nimchemeshe, au velvet cake na chai

Chapati za maji na maini/ chai / soda


Yan tokea dogo aondoke mle ndani siku niliyopika kitu cha kuita chakula ni kande nilipika july mwishoni .

Mama akijua 🤣
Atanisema yule mwanamke hadi nisuse nimkatie simu
 
Back
Top Bottom