Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20220820_163943_666.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mimi juzi nimejaribu ikatoa uji ule sikjui😂😂😂.hangaika weee lakini wapi.. nikarudi kwenye mkaa.
Hivi vi oven navyo vinadhalilisha watu,hasa mimi niliyekulia kijijini.


Nimetumia blue band robo,sukari robo,mayai 7 na unga nusu
Ukitaka iwe sponge sana kama hiyo unaweza kuongeza mayai...

Changanya sukari na blue band,
Anza kuweka yai Moja Moja huku unakoroga
Weka baking powder..
Nimetumia limao kuondoa harufu(unaweza tumia vanilla)
Baadaye unga.
Blue band robo ndio ikoje 😂 mm nina prestige ile ya 1kg nitachotaje nijue hii ni robo?

Process sio ngumu… sijui nitatobo 😂🤣🤣
 
Siblock mtu 🤣 yan sahivi utakuja kuchukua simu ujibu sms zako 😂😂😂

Na bado sijatest frying fish 😂😂😂🤣 pick n pay sijaziona,, village kwa washua pale naogopa 🤸🏻‍♀️
Acha jeuri we bint. Sema najua hizo hasira zimechanganyika za 250k🤣🤣

Supermarket ile ya kule karibu na Kilombero hivi bado ipogo?
Village wanabei za watalii wale, labda uingie window shopping
 
Back
Top Bottom