Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usiyaoge utaumwa na mie bado nakuhitaji didi ake😂😂

Si unataka kujua kinge wewe, njoo tusome magazeti haya, nikikupeleka vacay Ulaya usintie aibuView attachment 2324154
Sahivi sina shida na kingreza 🤣😂 nilikitaka jana at least nikagombane na waingereza wa Totten… sasa nimeshalala nimeamka hasira zimeisha 😂😂😂


Kingreza chako komaa nacho tu vacay twende gwanzuuuu 🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️
 
Sahivi sina shida na kingreza 🤣😂 nilikitaka jana at least nikagombane na waingereza wa Totten… sasa nimeshalala nimeamka hasira zimeisha 😂😂😂


Kingreza chako komaa nacho tu vacay twende gwanzuuuu 🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️
😂😂😂 jana kuna kitu ulikunywa wewe

Gwanzuu hapo connection kama zote, wacha tutafute nauli tu
 
Wambie warudie boss lady alafu waonyeshe mfano wewe wao wafuate
😂😂🤣🤣😂😂😂🤣😂😂😂😂😂 Mimi ninani hata nikupinge Bossi wetu selfika Africa Mashariki Kusi na kasii??😉😉 Tulia hapohapooo napita kama nilivooooooo😉!
 
😂😂😂 jana kuna kitu ulikunywa wewe

Gwanzuu hapo connection kama zote, wacha tutafute nauli tu
Nilikunywa ginger ale ya moto 😂😂

My didi,, napenda mpira tu mimi jamani,, muulize hata babe wako jana Refa Antony ametufanyia nn Chelsea 😭

Ingekuwaga matusi/ kejeli/ laana zinafanya kazi haki yule jana angezimia 😂😂
 
Back
Top Bottom