Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikunywa ginger ale ya moto 😂😂

My didi,, napenda mpira tu mimi jamani,, muulize hata babe wako jana Refa Antony ametufanyia nn Chelsea 😭

Ingekuwaga matusi/ kejeli/ laana zinafanya kazi haki yule jana angezimia 😂😂
Mpira hapo upo damuni najua, itabidi niongee vizuri na jirani myoyambendi next bday tukupeleke huko Chelsea ukajiselfie na wachezaji wake live kama zawadi

Huyo refa ipo siku yake
 
Mpira hapo upo damuni najua, itabidi niongee vizuri na jirani myoyambendi next bday tukupeleke huko Chelsea ukajiselfie na wachezaji wake live kama zawadi

Huyo refa ipo siku yake
😂😂😂😂 semeni kweli? Haki huo mwezi sitalala

Yule refa anatuhujumu sana,, si mara ya kwanza jana…

Sema nilipenda kocha wetu alivyomnawaaa Conte🤣🤣🤣 yan unaleta unafki afu unanishobokea ??

Weee Tuchel akamnawa live live,, cocha wao akapanick
Ikawa tenaWWE ya makocha 😂😂😂

Refa kaja kawalamba kadi 😂
Natamani kujua what’s next baada ya makocha kulamba kadi..
Sema uzi wa chelsea siendi ,, sitaki kukasirishwa 😂

Mpira ukiuzoea ni ulevi mwingine,, karibu chamani jamani..
 
IMG_20220810_141950.jpg
 
Back
Top Bottom