Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Nzuri aiseee. Race nyingi mishe nyingi sana. Switch accordingly!! Habari za masiku mingi lakini!!
Haya karibu tena selfika na fanya kunibless kwanza selfii yako rafiki kitambo sana!!
Nzuri aiseee. Race nyingi mishe nyingi sana. Switch accordingly!! Habari za masiku mingi lakini!!
Haya karibu tena selfika na fanya kunibless kwanza selfii yako rafiki kitambo sana!!
Thats good MkuuNzuri aiseee. Race nyingi mishe nyingi sana. Switch accordingly
Nani mkuu? Wacha hizo weweeeeThats good Mkuu
Ukiitwa mkuu unapungukiwa nini kwani??Nani mkuu? Wacha hizo weweeee




Aiseee
Ni kilele kipi mkuu?
😁😁😁😁😁Ni kilele kipi mkuu?
Ni hiki hiki wanachofika wenzie au yeye anacho cha kwake spesheri😁😁😁
Mambo ya kilele ni hatari.



Pole mkuu. Utakuja kuwasimulia wajukuu kuhusu hayo makovu uliyoachiwa. Tena wafunge kamba kuwa yalitokana na mapambano yako na simba na wanyama wengine wakali walipojichanganya na kuvamia ng'ombe uliokuwa ukiwachunga. Wajukuu utawasikia tu "kumbe we babu siyo mtu wa mchezo mchezo eeeh!"...Halafu wakikua kidogo utasikia babu yetu huyu kwa fiksi dah! 😁😁😁Mambo ya kilele ni hatari.
Nimechezea sana kucha kwa warembo wawili yaani wa mwisho alikuwa hatari nilikula kucha mgongoni balaa yaani eti mtu anafurahia kilele.
Mwingine naye akifika anang'ata balaa![]()
Kama hakuwa mzoefu wa kupanda hadi kilele lazm pumzi ikate 😄
Poa niaje
Waepuke matapeliHuyu mzungu naskia wanasema eti alileta vifaa vya sensa wao wakajua ni mchenzaji🤭😅😅
Wameingizwa mjiniYani nilicheka hatariiii🤣🤣🤣!
Naona wiki yenu hii wanayangaWameingizwa mjini
Yaani wamepigwa
Epuka matapeli ndugu zangu..ni mzungu wa mchongo tu atakuja kucheza bongo
Acha mhahoWaepuke matapeli
Wamebeba mzungu wa watu..kumbe alileta penseli za kusilibia viduara cya sensa.
Cuzooooo 😂 😂 😂 😂 😂 😂😂Kuna mtoto wa shangaz nitaftian walipo