Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja nipambane na Lizzy tu maana Antonnia kanimwaga hapa hadharani sina namna chief
Pambana tu kwa Amani ya bwana mie sikuweziiiii🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Screenshot_20220813-110824.jpg

Wacha tufanye mpango tumtunuku Doctorate degree (PhD) ya heshima Bwana P-Funk Majani kutokana na kazi kubwa aliyoifanya kwenye huu mziki wa vijana, Bongo Flavour. Hadi sisi Wazee tunafurahia "vionjo" vyake Kwa kweli 😀

Ubunifu wa beat kwenye hii nyimbo ni wa hali Juu, ingawa na mashairi yaliyotumika pia yanahamasisha/kukumbusha umuhimu wa Vijana wa Kiume kujitafutia maisha bila kuchoka 💪💪

Guys, it's already weekend 🤸🤸🤸🥂
 
Back
Top Bottom