Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,034
- 6,038
Ishia hapo hapooo...Hahaha mdomo komaaaaa
Mb za kusutania sinaaa
Ishia hapo hapooo...Hahaha mdomo komaaaaa
Mb za kusutania sinaaa
Katika clue nimeelewaNajua mnasema ivo ili nimtaje, namimi sitaweza kumtaja. Ila clue nimetoa
Kumekuchaaaaaaaaa!!!!Clues
1. Baada ya little research nimegundua yeye hayupo kwenye waliobadili ID.
2. Kwenye majina yote mliyotaja, na yeye mmemtaja tayari humo.
Naomba nisiulizwe swali jingine. Wala msisort hayo majina. Kila mtu abaki na lake








Ni mie jamani ndio nilimfata pmCoca alinisindikiza hadi stend
Huyo A ni nani tena![]()








Wasalimie hao nduguKatika clue nimeelewa
Ila nawaza kulikuwa na vanga gani?
Emu nikachat na ndugu zangu wa p m![]()
Aibuuu yetuuuuu!! Brian Mshenzi Huyu amalize mchezo tu mie nikauze nyanya Zangu!Hahaha mdomo komaaaaa
Mb za kusutania sinaaa
Mie ndo maana nlitaka jambo la PM, kuhusu kumjua sio issues mbna.Katika clue nimeelewa
Ila nawaza kulikuwa na vanga gani?
Emu nikachat na ndugu zangu wa p m![]()








Case closedNi mie jamani ndio nilimfata pmCoca alinisindikiza hadi stend
Huyo A ni nani tena![]()
Huna lolote unataka tu uonekane nawewe kuwa umo!! Lipua jibuuuu acha mbwembwe broo!!Najua mnasema ivo ili nimtaje, namimi sitaweza kumtaja. Ila clue nimetoa





Emu nikae pembeni nicheke 🤣🤣🤣Weee Brian Spilner acha uongoooo!! Sasa kama sio kuwashwa huyo mrembo alifata nini kama hela hunaa sio Tall dark handsome alifata nini cha sasa??😎😎😎😁😁😁😁😁😁!! Alifata neneeeeee???
🤣🤣🤣🤣Brian Spilner
Mie naomba vocha, km JF inavyonitambua kuwa mzamia vocha za buku buku.
Uweke PM wee mwenyewe, za halotel.![]()
Surbi katika siku nimekaa sana online ni leo. Kwahiyo kutaka nionekane nimo sio kweli, kwasababu mimi simo typical.Huna lolote unataka tu uonekane nawewe kuwa umo!! Lipua jibuuuu acha mbwembwe broo!!
😂😂😂 fatilizia umbea ulale njaaAibuuu yetuuuuu!! Brian Mshenzi Huyu amalize mchezo tu mie nikauze nyanya Zangu!
Mimi nasema tu isamehe bure ile chata 🤣🤣Surbi katika siku nimekaa sana online ni leo. Kwahiyo kutaka nionekane nimo sio kweli, kwasababu mimi simo typical.
Ila siwezi kumchafua mtu hapa, japo alinikosea.
Na sijala kweliiii kisa umbea!! Hebu niweke mkaa kwanza Narudiiiii😁😁😁😁😂😂😂 fatilizia umbea ulale njaa
Mimi ni short, black, broke, yaani broke kweli kweli na uglier.Weee Brian Spilner acha uongoooo!! Sasa kama sio kuwashwa huyo mrembo alifata nini kama hela hunaa sio Tall dark handsome alifata nini cha sasa??!! Alifata neneeeeee??? Lipuaaaaa
Mpaka hapo ushamchafua tyu wee malizaaaa kiekewekeee bro !! Alifata nene cha kiwaki wenawe??Surbi katika siku nimekaa sana online ni leo. Kwahiyo kutaka nionekane nimo sio kweli, kwasababu mimi simo typical.
Ila siwezi kumchafua mtu hapa, japo alinikosea.
Hutaki kugombania hapa na wenzio?Brian Spilner
Mie naomba vocha, km JF inavyonitambua kuwa mzamia vocha za buku buku.
Uweke PM wee mwenyewe, za halotel.![]()