cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Nimeona hilo hata mie, anamiss vagaa za selfika, ndo anaziamsha kiaina, atuache sie khaaaahYuko bored ofisini kwake huko anafanya kutupumzikia tu hapa






Nimeona hilo hata mie, anamiss vagaa za selfika, ndo anaziamsha kiaina, atuache sie khaaaahYuko bored ofisini kwake huko anafanya kutupumzikia tu hapa






Nitumie ndyooo PM kule. Fanya hivyooo.Unataka nikutumie screenshots?
Anatakq kutugombanisha 🤣Nimeona hilo hata mie, anamiss vagaa za selfika, ndo anaziamsha kiaina, atuache sie khaaaah
![]()
Me nimekuuliza kwasababu Tina simjui
Sasa nani ? Basi atakuwa ni miss Buza 😁😁😁Me nimekuuliza kwasababu Tina simjui
Kama ni Christina wa Iringa yule innocent face walaa
Anatakq kutugombanisha
Tujikute tumetaja watu mwishoe hao watu waje kutusuta




kabisaaaah yaan.Ur second opt 🤣🤣🤣🤣Na ni miss buza ndyo.![]()
Basi niwaombe, msitaje tena watu. Mtaleta shida jukwaani.Anatakq kutugombanisha
Tujikute tumetaja watu mwishoe hao watu waje kutusuta
Noo usitaje watu bhana, watakuja wakute tags zao iwe ishu.Bhana wee ktk hii selfika, huyu ndo wa mwsho zaidi ya hapo acha fix kaka mzuri.
Ni huyu mawardat??
Tutajie ili uupoze moto uliouwashaBasi niwaombe, msitaje tena watu. Mtaleta shida jukwaani.
Aloo na huu kweli ni umewakaaTutajie ili uupoze moto uliouwasha
Noo usitaje watu bhana, watakuja wakute tags zao iwe ishu.




khaaaah bas acha fix wee.Sawa mkuu 🤣🤣🤣Katika kuwapunguzia kufikiria sana.
Nitawapa clue mbili.
Ila sitawaambia alichoijia kwa majaliwa.
Mie nataka kwa majaliwa, alisema nn kuhusu kumjua, ukiniambia cha kwa majaliwa hapo hapo muhusika ntamjua automaticallyKatika kuwapunguzia kufikiria sana.
Nitawapa clue mbili.
Ila sitawaambia alichoijia kwa majaliwa.









Hicho sitasemaMie nataka kwa majaliwa, alisema nn kuhusu kumjua, ukiniambia cha kwa majaliwa hapo hapo muhusika ntamjua automatically
![]()
🤣🤣🤣🤣 jamani, basi sawa bossHicho sitasema
Nitawapa hizo clue mbili na msiporidhika nitawapa vocha mgombanie kupooza mioyo..
Tuko sawaa?