Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwamba uzi umedorora kwa mafuta kupanda bei, selfika haitegemei wese jamani.
giphy.gif
 
Wee nimekosa aisee zote amewahi mtu mmoja halafu mnajishaua hamna njaa kumbe vocha mnazitaka nyumbu nyiee mmmxxxiiieeewww!!! Brian Spilner nimekosaaa kuna mseng.e anaishia na 14 kabeba zote
Nilidhani ni wewe 😂😂😂😂

Sema dada una maneno aisee 🤔
Inaonyesha wewe kupanick ni ndani ya sekunde 1 … don’t be that,, we ni wa mwanamke.. haipendezi sana

Unaweza jisahau ukamtukana mtoto tusi kubwa…

Sorry kama nimepitiliza 😊
 
Bro Mjep namba ya nani inaishia na 514 ?? Huyu kapita na vocha yangu
Nilidhani ni wewe 😂😂😂😂

Sema dada una maneno aisee 🤔
Inaonyesha wewe kupanick ni ndani ya sekunde 1 … don’t be that,, we ni wa mwanamke.. haipendezi sana

Unaweza jisahau ukamtukana mtoto tusi kubwa…

Sorry kama nimepitiliza 😊
Depal nirudishie buku yangu ukute niwewe??😎😎😎 Wewe wa kishua hunaga shida ya vocha nirudishie buku yangu basi!!
 
Nilidhani ni wewe 😂😂😂😂

Sema dada una maneno aisee 🤔
Inaonyesha wewe kupanick ni ndani ya sekunde 1 … don’t be that,, we ni wa mwanamke.. haipendezi sana

Unaweza jisahau ukamtukana mtoto tusi kubwa…

Sorry kama nimepitiliza 😊
This is chitchat bana mie nataka vochaa hayo mengine sitaki jua!!
 
Back
Top Bottom