Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,123
- 6,207
Kuna watu wanahisia kali hapa, nimewaonaUmenikomesha bana [emoji1787][emoji1787] kiranga komooo… hata picha nashindwa kupata
CC Surbi
Kuna watu wanahisia kali hapa, nimewaonaUmenikomesha bana [emoji1787][emoji1787] kiranga komooo… hata picha nashindwa kupata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kidogo tyuuh.Unajiliza tuu au kuna mengine, we nae machacharii
Saint Anne au Antonnia ndio wanakeshaga hapa! 🏃🏃🏃🏃Unataka uunganishe dots..
Mimi naingia mara chache lakini am sure ana siku kuanzia tano or more haonekani. Maana akiwepo, ukifungua tu selfika, kwenye ile page yenye comments 10, yake haikosekani, or the next
Yule hawezi hata. Yuko vizuri.T hanaga kiherehere kabisa [emoji23] namteteaa
Sasa labda iwe kabadili ID maana kuingia kwangu mara chache, hata mahondaw nilichelewa kumnoticeEeh lakini mbona nimemtaja [emoji56] ye kasema eti sijamtaja
Mtajeeeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyinyi wamama mtanigeuka hapa nibaki pekeanguu
Halafu ntashindwa kujitetea maana ntaonekana nashindana na wanawake
Hisia za mapenzi kaka??? Lol ulitongozwa???Kuna watu wanahisia kali hapa, nimewaona
CC Surbi
Hapana, hakujitongozesha, ingekua hilo nisingesema hapa jukwaani.Sasa alikua anajitongozesha?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mashangazi wenyewe, siku hizi wanatongozwa, huyo alikwama wapi hadi kujitongozesha kwako?? Na ukampa cha mbavu??
Sitakiiiiiiiii!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima alikua anajitongozesha huyoo? Hakna kingine. LolMbona umeconclude hivi jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Mnanijaza tu au sioo..[emoji23][emoji23]Amtaje tyuuh, tutaruka nae km yeye atakavyo tujia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unakuaje single wakat mwanaume mwenye mapenzi ya kweli nipo hapa[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeh sanaaa. JF ya motoooo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora upo, umepunguza kuhusishwa, hata hivyo wewe maparamio yako yanavutia. Huyo alikuja ovyo sana.
Ukampa zauso mpaka akaona abadili??? kaka mtu mbad wewe😁😁!! Inatujazaaa na hutaki kututajia acha hizooooo!!Sasa labda iwe kabadili ID maana kuingia kwangu mara chache, hata mahondaw nilichelewa kumnotice
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niwe modes, JF wataandamana watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikua na nyege siku hiyo, huyo bidada.Hahahaha weuhhh ati alikuja hovyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ushindwe pepo toka[emoji16][emoji16] View attachment 2312835
Byser bablone breezy wiz notorious pac
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kifuatacho nitakubonda
Genye hazijawahi kumuacha mtu Salama 😁😁😁😁!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikua na nyege siku hiyo, huyo bidada.
Sio wa kuwashwa huko. Uwiiiih.