Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,034
- 6,038
Kuna watu wanahisia kali hapa, nimewaonaUmenikomesha banakiranga komooo… hata picha nashindwa kupata
CC Surbi
Kuna watu wanahisia kali hapa, nimewaonaUmenikomesha banakiranga komooo… hata picha nashindwa kupata
Unajiliza tuu au kuna mengine, we nae machacharii




kidogo tyuuh.Saint Anne au Antonnia ndio wanakeshaga hapa! 🏃🏃🏃🏃Unataka uunganishe dots..
Mimi naingia mara chache lakini am sure ana siku kuanzia tano or more haonekani. Maana akiwepo, ukifungua tu selfika, kwenye ile page yenye comments 10, yake haikosekani, or the next
Yule hawezi hata. Yuko vizuri.T hanaga kiherehere kabisanamteteaa
Sasa labda iwe kabadili ID maana kuingia kwangu mara chache, hata mahondaw nilichelewa kumnoticeEeh lakini mbona nimemtajaye kasema eti sijamtaja
Mtajeeeee,Nyinyi wamama mtanigeuka hapa nibaki pekeanguu
Halafu ntashindwa kujitetea maana ntaonekana nashindana na wanawake






Hisia za mapenzi kaka??? Lol ulitongozwa???Kuna watu wanahisia kali hapa, nimewaona
CC Surbi
Hapana, hakujitongozesha, ingekua hilo nisingesema hapa jukwaani.Sasa alikua anajitongozesha??
Mashangazi wenyewe, siku hizi wanatongozwa, huyo alikwama wapi hadi kujitongozesha kwako?? Na ukampa cha mbavu??
Sitakiiiiiiiii!!!![]()
Mbona umeconclude hivi jamani![]()





lazima alikua anajitongozesha huyoo? Hakna kingine. LolMnanijaza tu au sioo..Amtaje tyuuh, tutaruka nae km yeye atakavyo tujia.
![]()


Unakuaje single wakat mwanaume mwenye mapenzi ya kweli nipo hapa

Bora upo, umepunguza kuhusishwa, hata hivyo wewe maparamio yako yanavutia. Huyo alikuja ovyo sana.






hatareeeeh sanaaa. JF ya motoooo.Ukampa zauso mpaka akaona abadili??? kaka mtu mbad wewe😁😁!! Inatujazaaa na hutaki kututajia acha hizooooo!!Sasa labda iwe kabadili ID maana kuingia kwangu mara chache, hata mahondaw nilichelewa kumnotice
Hahahaha weuhhh ati alikuja hovyo![]()





alikua na nyege siku hiyo, huyo bidada. Ushindwe pepo toka
Byser bablone breezy wiz notorious pac
Genye hazijawahi kumuacha mtu Salama 😁😁😁😁!!alikua na nyege siku hiyo, huyo bidada.
Sio wa kuwashwa huko. Uwiiiih.