Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Itakuwa nimemsahau
Ni Tinsley au cocastic haka uwa kanapotea..


Haha eti anashinda online muda wote [emoji23][emoji23][emoji23] wengine ni ma PS/ ACC muda wa kazi ako na desktop anafanya kazi huku yuko jf
We watag tuu, mi simoo[emoji3][emoji3]
Na me sitaki kumtaja kwasababu alishanijia pm kwa jambo la kipumbavu, ila kushinda kwake online kunachangamsha jukwaa, siunajua wadada vile mnanogesha hapa.
 
We watag tuu, mi simoo[emoji3][emoji3]
Na me sitaki kumtaja kwasababu alishanijia pm kwa jambo la kipumbavu, ila kushinda kwake online kunachangamsha jukwaa, siunajua wadada vile mnanogesha hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ikawaje, hebu nidokezee kidg tyuuh, nipatie ubuyu ni jambo gani hilo??
 
Hahahaa achecheeee Dj waleteeee

Me sijamjua bana, akijishtukia atajijua mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndo kaniacha hoi, yaan kamfata DM, sijui ndo huyu naemuwaza mie au tofauti, ila JF yamotoooo uwiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ikawaje, hebu nidokezee kidg tyuuh, nipatie ubuyu ni jambo gani hilo??
Wewe ndio tudokeze ilikuaje ukamzamia buroo kwa waziri tena kwa jambo la kiwaki eti!! Au ni Tins naona Brian kaogopa kweli!
 
@cocastic jana usiku nilichungulia nikamuona.
Huyu akipotea kidogo ujue bann. Picha zake na comments huwa zinasisimua moderators
Kwanza soon nakua modes, mkae kwa kutulia tyuuh.
Watu watapasuka na kuchafukwa JF nikiwa modes, uwiiiiih

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mods wanamuonea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwahiyo huyo mwingine ana siku ngapi hajaonekana? Tummulike
Sahizi sipigwi Ban, nikiletewa zengwee, naenda zangu kwa boss najiliza bas natolewa chap kifungoni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mods wanamuonea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwahiyo huyo mwingine ana siku ngapi hajaonekana? Tummulike
Unataka uunganishe dots..
Mimi naingia mara chache lakini am sure ana siku kuanzia tano or more haonekani. Maana akiwepo, ukifungua tu selfika, kwenye ile page yenye comments 10, yake haikosekani, or the next
 
Sahizi sipigwi Ban, nikiletewa zengwee, naenda zangu kwa boss najiliza bas natolewa chap kifungoni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oya emu nisogezee namba za boss
😋 tall dark and handsome in Darlin voice
 
Back
Top Bottom