Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Shemeji ujambokhaaaah wee!!.
Shemeji ujambokhaaaah wee!!.
Nipo Bandugu kusaka tongee na kodi kunaninabaa!! Sema Masela kibao wamepotea hunu Sijui tatizo nini!! Sio kawaida selfika kupoa hivii!!
😁😁
Wacha habari zako wewe!!
Meme nipo peke yangu ase
Ni ghafla na ni wote kwa pamojaNipo Bandugu kusaka tongee na kodi kunaninabaa!! Sema Masela kibao wamepotea hunu Sijui tatizo nini!! Sio kawaida selfika kupoa hivii!!
Duuuuuh!!!!!!!!wewe haujui kama tatizo ni bandoAntonnia na Ntiluseswa hawapo wote online Kuna jambo linatafutwa any way mwezi wa 4 tunajua ni mtoto gani
Kunae mmoja hujamtaja, huyu alikua anashinda online muda wootee, yani kila nikichungulia namkuta, i mean kila nikichungulia.
Unataka kusemaje B ???Ni ghafla na ni wote kwa pamoja
Kwahiyo unataka kusema Id zilizopotea zote ni za mtu mmoja na ndio amepoteza simu/ hana bandoNi ghafla na ni wote kwa pamoja
Hadi kaka vocha Mjep ??? Dharau hizi!!Duuuuuh!!!!!!!!wewe haujui kama tatizo ni bando
WatarejeaNipo Bandugu kusaka tongee na kodi kunaninabaa!! Sema Masela kibao wamepotea hunu Sijui tatizo nini!! Sio kawaida selfika kupoa hivii!!
waje tu kwakweli selfika inaelekea kutokomea! Haichanhamki kabisa!Watarejea
Itakuwa nimemsahauKunae mmoja hujamtaja, huyu alikua anashinda online muda wootee, yani kila nikichungulia namkuta, i mean kila nikichungulia.
CnaShemeji ujambo
Alimaanisha ni mie hapa,











Yani sijui ata, pengine wamejoin nguvu, wameriotKwahiyo unataka kusema Id zilizopotea zote ni za mtu mmoja na ndio amepoteza simu/ hana bando
![]()


😂😂😂 hamna bana, wakipata vocha watakujaYani sijui ata, pengine wamejoin nguvu, wameriot![]()