Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nitaanza kugombana kusudi sawa dogo
sitakiiiii, kuna member alikuja PM, ananambiaje "wee shetani JF nzima hatukutaki, ila unatamba tu, tupe siri ya jeuri na kiburi chako,"

Nkamjibu "akinipenda mwenye JF yake inatosha, wala sio shida zangu"

Tangu siku hiyo, kila nikikutana kwa comments jukwaani, ananipobukia hatareee,
 
sitakiiiii, kuna member alikuja PM, ananambiaje "wee shetani JF nzima hatukutaki, ila unatamba tu, tupe siri ya jeuri na kiburi chako,"

Nkamjibu "akinipenda mwenye JF yake inatosha, wala sio shida zangu"

Tangu siku hiyo, kila nikikutana kwa comments jukwaani, ananipobukia hatareee,
Jf nzima 🤣🤣
Alipita na selfika ama

Msalimie boss 😅😅😅
 
Back
Top Bottom