Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,290
Ni kama kule kwenu upareni na uchagani
Najua ni wilaya ila sikujua kama ni kwa wandali![]()
Najua ni wilaya ila sikujua kama ni kwa wandali![]()
Yaani alikuwa lekchara mzumbe na ukashindwa kujua taarifa za kifo
daah kweli itakuwa nina wivu









Mmmmmh!! Kweli?Ndiyo madame![]()
Miami mkuu.Daah hapa ni Hawaii?? My heart just skipped a beat!!
Endelea tu kushuka mama.Jamani nilikuwa kule juu nashuka taratibu![]()
Nilijua tu Kuna mtu ataachwa na gari yupo standJamani nilikuwa kule juu nashuka taratibu![]()


















..
Mie mpole sana, nyie ndio mnaniharibu.
Nipe hela.Nikusifie kidogo![]()
Ni kama kule kwenu upareni na uchagani






Kwamba FF ni jasusi ?????Chiiiiii hivi ndiyo uliniambia kuwa nimefanya kazi pale jumba jeupe?? La wapi Magogoni au Chamwino?? Yaani wewe kazi za watu kama kina FaizaFoxy ndiyo unakuja kutupachika sisi




Huyu kawaida yake, siweki.



sasa bora hata angeniacha mimi nakuambia
Hiyo mifano bora angemwacha saint tu.
Nawe mwalimu?



ndiyo si nilikuwa kule juu nashuka taratibu?? Ule ushauri wako wa kuanzia mwisho umenishinda ndiyo maana napitwa
Ukute na hii ya Sasa imekupita![]()
Alikuwa mwanasiasa enzi za mwalimu hadi Mkapa, alifariki mwaka 97...
Kama wapenda maarifa soma hapa...
TUNTEMEKE SANGA: MTANGANYIKA ALIYEKUWA NA IQ YA KIPEKEE NA SHAHADA NYINGI KULIKO WOTE!!!