Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Yeah sanaaaaa
Kwamba wanyaki wanajua kubembeleza au?
Kwamba wanyaki wanajua kubembeleza au?
Huu ni uchokozi ulio dhahirii kabisa sister karma
Hizo mbona hata huku kwetu ileje zipo.Yeah nishawahi sikia habari zake...
Hata hivyo mi si mpenzi wa treni za low speed, pamoja na kuwa napenda sana adventures...
Napenda zile bullet trains, zipo sana China na Japan..
Mfano safari ya Dar kwenda Mbeya inatembea in less than 3hrs...
Ooh yeah, ona mwandiko wa Karma Heaven Sent Saint anneKwamba wanyaki wanajua kubembeleza au?
Sasa mkuu naona unataka kunifyetua tu aise kiswanswadu ndo nakipenda hicho balaamkuu smartphone ni smartphone na kiswaswasu ni kiswaswadu,, mie nimekuambia ubadilishe hicho kinachoonekana hapo siyo hiyo uliyotumia kuingia nayo JF namna gani vipi bob??
![]()
Haha Napenda kulitumia sanaWe kweli furushi, na yule mwenzio alotapeli watu maana hili neno linakuuma kweli.
Ooh yeah, ona mwandiko wa Karma Heaven Sent Saint anne
Vile wakiandika kwa ukarimu utafikiri umefika mbinguni kwa baba, sasa unaoneshwa wapi chumba utakuwa unaishi






Si nilikwambia my analytical mind inaniambia wewe sio mwana jf wa kawaida.
Ogonile bibi furushi ? twambombo ?
Huwa nakiskiaga sema sielewi wanaongeaga nini
Furushi mwenzio kaikimbia jf?Haha Napenda kulitumia sana
Na Mimi ni furushi kweli
.kumbe hata wewe zinakupitaga
Wa ileje.
Ninazo chache.
Mjini hapa connection
Khaaah!
Kwahiyo nawe mnyaki?
Na wasafwa wanapatikana wapi?Ileje ni kwa wandali huko sasa,, halafu imeshakuwa Songwe siyo Mbeya tena..