Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,797
- 182,966
Kuna kauli uliwahi kuioongea ndio maana sikuamini.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siaminiki jamani[emoji23]
Kuna kauli uliwahi kuioongea ndio maana sikuamini.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siaminiki jamani[emoji23]
Yeah zile mara nyingi ni subways au underground na vichwa vyake na mabehewa yake siyo kama haya yanayoyumbayumba,, but itakuwa haupendi kusafiri tu kwa mtu anayependa kusafiri 15 days from Dar to Capetown is just like a minute ila hiyo nauli yake sasa ni ada ya IST tena kwa mwanafunzi wa chekechea
Ooooh!! Ndio maana wanaitwa wakata miwa?
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saint anne njoo usikie haya maajabu huku
Ni kama kule kwenu upareni na uchagani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa bora hata angeniacha mimi nakuambia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nawee mwalimu??
Bora tu ukimbie.[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Weee shindwaaa: wanyaki hatuna watu wakorofi kama wewe teh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisa.
Kuna mama alimleta mwanae shuleni(anamsumbua sana) akamkabidhi kwangu nimsaidie kumnyoosha. Sasa alikuja na mdogo wake, mdogo wake akamuuliza "hivi huyu mwalimu mpole hivi ndio unamkabidhi huyu chautundu atamuweza kweli?" Walimu wengine kusikia hivyo acha wacheke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angejua ileje hata lami haipo[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saint anne njoo usikie haya maajabu huku
Tatizo lako ukiingia humu unataka usome kila kitu. Mie huwa naanzia nilipopakuta, paliponipita napaacha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndiyo si nilikuwa kule juu nashuka taratibu?? Ule ushauri wako wa kuanzia mwisho umenishinda ndiyo maana napitwa
Endelea tu kushuka mama.
Yaani nilijua utapitwa[emoji23]Huyu kawaida yake, siweki.
Nakusaidia kukataa piaHii nakataaaaaa....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mmhh huyo wa kwanza nina uhakika umeamua tu kumpaka mafuta kwa mgongo wa ben pol
Acha upitwe Maana hufwati ushauri wangu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndiyo si nilikuwa kule juu nashuka taratibu?? Ule ushauri wako wa kuanzia mwisho umenishinda ndiyo maana napitwa
Jamani[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aise kumbe ndiyo jina lao?? Sijalisikia ila wengi hawafanikiwagi na wasafwa matajiri wanaojulikana pale Mbeya ni wawili sijui watatu
Nilijua tu Kuna mtu ataachwa na gari yupo stand[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Woyooo
Atoto Leo usiweke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..