Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,360
- 176,180
Nakuja huko.Kwenda zako
Nakuja huko.Kwenda zako
Najua unekumbuka ile thread tulikuwa na lizarazu na weweKuna kauli uliwahi kuioongea ndio maana sikuamini.




Unataka nikaufukue ule uzi?Weee shindwaaa: wanyaki hatuna watu wakorofi kama wewe teh
najua, lkn ulipobatizwa tu na jina hili, umekuwa kakorofiiii...


Wacha apitwe tuTatizo lako ukiingia humu unataka usome kila kitu. Mie huwa naanzia nilipopakuta, paliponipita napaacha.
Kwamba FF ni jasusi ?????![]()
Saint anne siyo vizuri,, unajua kabisa wewe ukisema hafanyi kweli halafu ndiyo unanikandia badala ya kuniombea?? Wewe wa kunifanyia hivi mimi kweli?? Daah

Huyu kawaida yake, siweki.
kumbe wewe ni mpole?? Kwamba hauchapi kabisa??





Sio underground au subways au metro...
Ni cross country train kabisa, yaani mkoa hadi mkoa inakuwa inatembea on its top speed walau 350km/hr...
Pole.Saint anne siyo vizuri,, unajua kabisa wewe ukisema hafanyi kweli halafu ndiyo unanikandia badala ya kuniombea?? Wewe wa kunifanyia hivi mimi kweli?? Daah
Ndaga fijo nkamu (nimepiga na magoti kabisa hapa; Atoto hawezi mambo haya)Ooh yeah, ona mwandiko wa Karma Heaven Sent Saint anne
Vile wakiandika kwa ukarimu utafikiri umefika mbinguni kwa baba, sasa unaoneshwa wapi chumba utakuwa unaishi
Najua unekumbuka ile thread tulikuwa na lizarazu na wewe
Kwa Mara ya kwanza wewe na lizarazu mlikuwa upande mmoja kwenye mada.
Nilitaka nipime kumbukumbu zako![]()











hao wa Tukuyu siyo sisi
Ndio.
Unataka nikaufukue ule uzi?
Bora hata alivyokuwa anajiita espy







Weee shindwaaa: wanyaki hatuna watu wakorofi kama wewe teh