Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeah zile mara nyingi ni subways au underground na vichwa vyake na mabehewa yake siyo kama haya yanayoyumbayumba,, but itakuwa haupendi kusafiri tu kwa mtu anayependa kusafiri 15 days from Dar to Capetown is just like a minute ila hiyo nauli yake sasa ni ada ya IST tena kwa mwanafunzi wa chekechea
Yeah nishawahi sikia habari zake...

Hata hivyo mi si mpenzi wa treni za low speed, pamoja na kuwa napenda sana adventures...

Napenda zile bullet trains, zipo sana China na Japan..

Mfano safari ya Dar kwenda Mbeya inatembea in less than 3hrs...
 
Back
Top Bottom