cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Hakunaaaaaaa!!!!Tema mate
Usikariri
Hakunaaaaaaa!!!!Tema mate
Usikariri
Natumaje vocha wakati pesa ipo kwa simu? Kupanga ni kuchagua...Nataka vocha mie namba zanini sasa we Mandingo nawee!!
Babu zimaa unawaza ngonoooo, mxxieeewwHizi style mbili hizi. .. Nadhani ndio kongwe zaidi duniani... Yaani huwa nawaza tu....
Nyoka ndio alifundisha bibi yetu Eva? Ama je, Bibi yetu Eva alifanya ugunduzi binafsi? Na je kwa babu yetu Adam walitumia ipi? Mshazari ama wima? Doggy n mende!![]()





I need to wake up sasaWala huoti jirani. fungua kabati , weka vitu mezani, Jiko la gas liko hapo, chapchap mambo mezani...
Mihogo baadae kidogo.
Napambana na life kaka mambo yanabana mida mingine mpaka tunashindwa kuingia hata kusalimia tu ila tukipata muda kama hivi!Hahah, una vituko sana wewe. Mimi sina kubwa yake, niko na "ladies' finger" yangu hapa sina wasiwasi.
Niko poa kabisa, huonekani mitaa ya jf kabisa...itakuwa umefichwa.
Tunatoa, ila tunatoa kwa mahesabu makali sana. Ni sawa na kumwambia mkurya aache kupiga mke wake...haha!!Hahaha
Hebu toeni kwa moyo mtabarikiwa maradufu
Kuna nguvu kwenye kutoa .
Ubarikiwe sana. Kupambana ndio aliki yenyewe..Napambana na life kaka mambo yanabana mida mingine mpaka tunashindwa kuingia hata kusalimia tu ila tukipata muda kama hivi!
Wee Dogo ndo utufokee kisa ni mnyakiii? Na huyo wizoo unae ongea nae kwa cm, muambie tunataka mashangazi sie, hayupo kwa kujaza choo tyuuh.




wizo nimechachukaaa.Vizuri kupambana, life hili bila mapambano sehemu za siri ndio zinapiga kelele coz utataka mtelezo na midume inakupa kwa conditions.Napambana na life kaka mambo yanabana mida mingine mpaka tunashindwa kuingia hata kusalimia tu ila tukipata muda kama hivi!
YeahTunatoa, ila tunatoa kwa mahesabu makali sana. Ni sawa na kumwambia mkurya aache kupiga mke wake...haha!!
Sawa jirani...nitumie kipande na mimi...I need to wake up sasa
Nipate chai yangu na mihogo na kachumbari
Kweli kaka mwenye ubahili ubahili wake!Ubarikiwe sana. Kupambana ndio aliki yenyewe..
Wifi kama wifiWee Dogo ndo utufokee kisa ni mnyakiii? Na huyo wizoo unae ongea nae kwa cm, muambie tunataka mashangazi sie, hayupo kwa kujaza choo tyuuh.
wizo nimechachukaaa.

Jamaniiiii!!Tunatoa, ila tunatoa kwa mahesabu makali sana. Ni sawa na kumwambia mkurya aache kupiga mke wake...haha!!
😂 😂 😂Kweli kaka mwenye ubahili ubahili wake!
Tatizo mnatusema sana..haha!!Yeah
Mnafanya vyema maana mna discipline na pesa
Ipo kwenye damu hiyo
Karibu jirani chaiiSawa jirani...nitumie kipande na mimi...
Weka namba ya simu nikubariki nami nibarikiwe..si umesema nitabarikiwa zaidi.Jamaniiiii!!
Atoaye hubarikiwa zaidi zaidi mjue!!
Hahha tutapunguzaTatizo mnatusema sana..haha!!

Umeanza uswahiliiii sasa bro mandingo nawee😆😆!!Weka namba ya simu nikubariki nami nibarikiwe..si umesema nitabarikiwa zaidi.