Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Noma, ila sawa tu kila watu wana mambo yao mabaya na mazuri. Sema huyu Surbi aache kusema eti hatujui mapenzi, hata kama wabahili ili kunjunjana na malove tunajua bwana, labda alikutana na mpare wa hovyo hovyo

Hahaha watu hawafanani
Sio wote mpo hivyo
Hapo sasa kwenye kujua mapenzi
Muwafundishe hiki kizazi kipya jamani
 
Sio vikenge mule ndani hapana ni kule njiani ukitoka sanga sanga baada ya kituo cha osterbay kinachofuata ni Vikenge .

Vikenge vya mule ndani sio poa vidogo mno
Mimi sikupenda kukaa Maria nyerere maana ni mbali aisee kama upo off campus

Yeah wamejenga new campus huko panaitwa maekani .. pazuri sema pana mwendo toka pale .
Maria Nyerere si ndio zilikuwa hostrm mpya mpya na jirani yake Nyirenda kwa wanaume. Sema bora kule kuliko ulikoenda kupanga.
 
Noma, ila sawa tu kila watu wana mambo yao mabaya na mazuri. Sema huyu Surbi aache kusema eti hatujui mapenzi, hata kama wabahili ili kunjunjana na malove tunajua bwana, labda alikutana na mpare wa hovyo hovyo
Kwazile komenti ileeee siku kuleee seems uko gudoo mwenye kubwa yake 😆😆😆!!🏃🏃🏃
Sema ubakhili sasa!!
 
!
Kumbe naeewe wahuko kaka!!??
Habari za siku nyingi kaka mwenye kubwa yake !!
Miss you like crazy bro!!
Hahah, una vituko sana wewe. Mimi sina kubwa yake, niko na "ladies' finger" yangu hapa sina wasiwasi.
Niko poa kabisa, huonekani mitaa ya jf kabisa...itakuwa umefichwa.
 
@Mjep njoo uselfike boss kubwa
Huyo ndio kabisaaa kanipotezea pamoja na jana kumtag kabisa kuwa mb Zangu zinapumulia mashine anisaidie Bando!😏😏😉😉
Mmapeana vocha zenu kindugu humu!!
Ngoja nikapambane kwanza niache kuomba omba vocha zenu humu!
🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️
 
Hahaha watu hawafanani
Sio wote mpo hivyo
Hapo sasa kwenye kujua mapenzi
Muwafundishe hiki kizazi kipya jamani
Ila sisi sifa yetu kuu ni ubahili, mimi niko proud kabisa kuitwa mbahili. Kutoa ovyo ni dhambi, hata Mungu kakataza
 
Nyie wakaka wahumu selfikeni nanyie khaah! Wabahili hadi selfii tu?? Vocha mnajifanya hamuoni maombi Ila selfii tukiweka mnaziona!
Mmenishinda tabia Hakyanani tena!!
Weka namba ya simu utumiwe vocha, usilielie...ukiweka namba ya simu vocha utapata..wengine pesa zipo kwa wallet ya simu..haha!
 
Huyo ndio kabisaaa kanipotezea pamoja na jana kumtag kabisa kuwa mb Zangu zinapumulia mashine anisaidie Bando!
Mmapeana vocha zenu kindugu humu!!
Ngoja nikapambane kwanza niache kuomba omba vocha zenu humu!

Itakuwa alikuwa mbali na duka la vocha
Ila hana shida boss wetu huyu
Akiwa nazo anatoa

Siku njema dear, ubarikiwe katika kila jambo
 
Back
Top Bottom