Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizi style mbili hizi. .. Nadhani ndio kongwe zaidi duniani... Yaani huwa nawaza tu....
Nyoka ndio alifundisha bibi yetu Eva? Ama je, Bibi yetu Eva alifanya ugunduzi binafsi? Na je kwa babu yetu Adam walitumia ipi? Mshazari ama wima? Doggy n mende!
sijatia timu mda nakutana na vichekesho tu huku.
 
Duh hawa bwana. Huenda kweli tunafahamiana. Mimi nilianzia kimweri nikamalizia mirambo.
Ooh vizuri miaka hiyo hamjapata stress za kukaa nje .

Third year ndo nilijuta aisee nilikaa mbali mno Vikenge huko panaitwa .. sema niliwapata wenzangu nilipiga video nikawaonyesha room ilivyo bomba , halafu bei rahisi 300K tu . Tukawa classmates 6 hivi pale .
 
Ooh vizuri miaka hiyo hamjapata stress za kukaa nje .

Third year ndo nilijuta aisee nilikaa mbali mno Vikenge huko panaitwa .. sema niliwapata wenzangu nilipiga video nikawaonyesha room ilivyo bomba , halafu bei rahisi 300K tu . Tukawa classmates 6 hivi pale .
Vikenge nilikuwa sivikubali kabisa. Nahisi miaka hii watakuwa wameongeza hostel zingine
 
Vikenge nilikuwa sivikubali kabisa. Nahisi miaka hii watakuwa wameongeza hostel zingine
Sio vikenge mule ndani hapana ni kule njiani ukitoka sanga sanga baada ya kituo cha osterbay kinachofuata ni Vikenge .

Vikenge vya mule ndani sio poa vidogo mno
Mimi sikupenda kukaa Maria nyerere maana ni mbali aisee kama upo off campus

Yeah wamejenga new campus huko panaitwa maekani .. pazuri sema pana mwendo toka pale .
 
Back
Top Bottom