Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,488
- 203,177
Hizi kuta zinaficha mengi sana 🙌Dunia ishaishaaaa, watu wanaumbukaaa tyuuh. Didi akee.
Hizi kuta zinaficha mengi sana 🙌Dunia ishaishaaaa, watu wanaumbukaaa tyuuh. Didi akee.
Dada nenda Instaaa, mbna utakuta huko huko.Desa la nini tena? chuo kimefungwa sasa, baby sis umerudi![]()







Basi Hapo wamekufikisha !! unapenda izo mwenyewe!!!!Sasa hapa ntaharibi uzi nweiiiii
Mtu kamuacha mkewe na watoto, kumbe yeye ni Mke wa mtu piaa.
dunia simama nishukee, hiyo n baada ya mkewe kumfuma rooms akiwa na........
Khaaaaaaah.
Inategemea,samaki nhanga au?Nyie samaki,, good night![]()
DuuuuuhSasa hapa ntaharibi uzi nweiiiii
Mtu kamuacha mkewe na watoto, kumbe yeye ni Mke wa mtu piaa.
dunia simama nishukee, hiyo n baada ya mkewe kumfuma rooms akiwa na........
Khaaaaaaah.


Hizi kuta zinaficha mengi sana![]()




watu wamechoka kujibanaaa, wanaumbukaaa tyuuh. Hawa ni balaaHao watu siwakubali hata kidogo 😄
Nasubiria kesho vocha dada nilikopa nipige tafu ya jero 😆😆😆😆!!Nipo na salio m,pesa,
Kama vocha basi tena my sister,maana ni usiku now.
Hao nimekaa kaa nao nimejua pia wana kitabia cha kuwa na kiherehe, eish wanaboa sanaHawa ni balaa
Utajuta kuwafahamu
Ujiulize ulienda kaskazini kutafuta nn kama sio mtu wa hukk
😆😆😆😆😆😆!!akuuuuh hata.
Coet, conas, coaf, school of law, koteee sura za baba yaani pisi ni za kuhesabu,,na hzo zikienda cohu zinaonekana za mwishoToka hapa,![]()


OkNasubiria kesho vocha dada nilikopa nipige tafu ya jero!!
Tabia mpya hiyo naionaHao nimekaa kaa nao nimejua pia wana kitabia cha kuwa na kiherehe, eish wanaboa sana
Nyie afu mbna APP ya mange kwangu inakataa ku log in?? Sielewi tatizo nn??
Uwe na usiku mwema pia auntMuwe na usikumwema
Sinapicha mpya auntUwe na usiku mwema pia aunt
Selfika ka kulalia basi