Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Nakuaminia hiyo sector yako shosTuko na dada kalpana, tunawavuruga utopolooooo hadi wanakaukwaa koo.![]()
Wavuruge hao 😂😂
Nakuaminia hiyo sector yako shosTuko na dada kalpana, tunawavuruga utopolooooo hadi wanakaukwaa koo.![]()
Tena ngoja niisevu ile namba yako ya WhatsApp nami nicheke kwanza!!








UkikivaaUna mchezo kama wangume naweza pasi za week nzima kama mood iko ON..
Wanaweza rudisha wa manane,, ila in case of anything, nishaandaa akilini kigauni flani![]()
Afu kuna umbea mpyaa uko kuleee jukwaani kasome.Mnajuaga kututesa kisaikolojia wambea
Aminia sana mi ntawatag tuu!Dah......
Ngoja nifanye namna braza kumbee
Coca hi...... Selfika dear
Utukwaze kwa kipi, kwanza ndo tunataka unavochangamka maana ulizubaa sana wee.Amen madam
Yaani nilidhani nakukwaza
Na kama nimekukwaza na mwingine yeyote mnisamehe tuu kweli, au akitokea mwingine kakwazika nisaidie kuniombea msamaha tafadhali







Nshakujaaaa.Njoo kabla hujaenda kupuyaanga huko mana wewe dakika sifuri unayeyuka eneo la tukio!!
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mr vocha kajiapatia unarudi walai !!!!Tuma vocha watakusamehe hio ndio asali yao!
🤣🤣🤣🤣😂 umeonaa eehhh Walau saivi kachangamka Kweri kweriii naona huu mwaka wake mbona!🤣🤣🤣😂😂Utukwaze kwa kipi, kwanza ndo tunataka unavochangamka maana ulizubaa sana wee.![]()
Namshangaa sanaViclip viwili ushajikuta star sio
Adi unatujibu shit mafans wako
Tushamalizaaaa tuendelee kuselfika shos angu... Sikuhizi umekua mchoyo wa selfii zako kweli shagangu mie!Nshakujaaaa.
Babe tuma ka pichamr vocha kajiapatia unarudi walai !!!!
Iiiigggweeeeeeeeeeeeeeee!!!! Leteni hivo vocha nyie leteni tyu!!![]()
Jukwaa lipi? nikasomeAfu kuna umbea mpyaa uko kuleee jukwaani kasome.
Hivi hujaona??? Jamaniiiii niliweka nyingiiiiiii... haya ngoja niangalie angalie kama hapa usitokeBabe tuma ka picha
Tunamchangamsha mnoooo,umeonaa eehhh Walau saivi kachangamka Kweri kweriii naona huu mwaka wake mbona!
![]()















Sitoki nipo hapa'hapa babeHivi hujaona??? Jamaniiiii niliweka nyingiiiiiii... haya ngoja niangalie angalie kama hapa usitoke
Nadhani ni hapa selfikaJF kuna watoto wazuri.