Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nkamu kwani huwa unamwagilia moyo?

Aisee umeopoa bonge la pisi; full utu na Utulivu. Yaani you have all my blessings na ukweni nakusindikiza.

Depal ni binti Zumaridi

Mama junia Saint Anne nimetoka kwake jana.

Mwanafunzi cocastic nishampa salamu zake.
Eti kasema nipo na lecturer, akati mie nipo na studiee mwenzangu.
 
Jamani mnisamehe bure ndugu zangu leo nimetupia ginger ale zangu 3 kwa hiyo hii akili si yangu leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ni ulevi...🤣😁🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Umefurahi kweli leo mwenyewe!!!
Hio furaha na idumu mileleee na milele daimaaaaaa ....

Amen!🙏
 
Back
Top Bottom