Jamani mnisamehe bure ndugu zangu leo nimetupia ginger ale zangu 3 kwa hiyo hii akili si yangu leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ni ulevi...🤣😁🤣🤣🤣Ile nafasi alosema Reymage naona unaikaimu vyedi sana sikuhizi!!🤣🤣🤣!!
Ripot zote anazo nishampa Kitambo sana!!!! 😉
Jamani mnisamehe bure ndugu zangu leo nimetupia ginger ale zangu 3 kwa hiyo hii akili si yangu leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ni ulevi...🤣😁🤣🤣🤣Ile nafasi alosema Reymage naona unaikaimu vyedi sana sikuhizi!!🤣🤣🤣!!
Ripot zote anazo nishampa Kitambo sana!!!! 😉
Eti kasema nipo na lecturer, akati mie nipo na studiee mwenzangu.Nkamu kwani huwa unamwagilia moyo?
Aisee umeopoa bonge la pisi; full utu na Utulivu. Yaani you have all my blessings na ukweni nakusindikiza.
Depal ni binti Zumaridi
Mama junia Saint Anne nimetoka kwake jana.
Mwanafunzi cocastic nishampa salamu zake.













nitakubondaaa wallah.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Jamani mnisamehe bure ndugu zangu leo nimetupia ginger ale zangu 3 kwa hiyo hii akili si yangu leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ni ulevi...🤣😁🤣🤣🤣
Dah, hii imenigusa kuliko.Good night y’all![]()
![]()
Mie ngoja nilale ule upnde usio na mtu, nisije maliza mtress kiajabu
View attachment 2294634
Mlongo wewe ndo umenifundisha haya mambo ya umbeya unaona sasa na mimi nineanza kuiga nyendo zako hadi nimetaka kuandika uzi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo Pa Lecturer sasa, kanikimbiaaaa.
Hizi ripot anazotoa sasa!! Mr vocha jamanii!!🙌🙌🙌🙌Eti kasema nipo na lecturer, akati mie nipo na studiee mwenzangu.
![]()
Salama uncle nikutakie usiku mwema uncle 🙏Hakika Mungu ni mwema niko salsma.
Habari yako miss wetu wa selfika😂
Njoo kabla hujaenda kupuyaanga huko mana wewe dakika sifuri unayeyuka eneo la tukio!!nitakubondaaa wallah.
Asante mwanangu mzuriSalama uncle nikutakie usiku mwema uncle 🙏
Amen madam🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Umefurahi kweli leo mwenyewe!!!
Hio furaha na idumu mileleee na milele daimaaaaaa ....
Amen!🙏
Jamani jamani hilo darsa liishie tu hapa nkamu. Sipati picha uwe kama Coca




nipo tsup naweka status za kuwashtua watu afu nafuta, ila mie wee status dkk 10 viewers 63, na wanavopebda umbea sasa, nawadolishia km nataka kulipua kitu, afu nawaacha na shauku.




ntakubonda wee.
Usiwaze mr vocha tunachitchatika tyu hapa kusogeza masaa!!Amen madam
Yaani nilidhani nakukwaza
Na kama nimekukwaza na mwingine yeyote mnisamehe tuu kweli, au akitokea mwingine kakwazika nisaidie kuniombea msamaha tafadhali
Mnajuaga kututesa kisaikolojia wambeanipo tsup naweka status za kuwashtua watu afu nafuta, ila mie wee status dkk 10 viewers 63, na wanavopebda umbea sasa, nawadolishia km nataka kulipua kitu, afu nawaacha na shauku.
🙌🙌🙌🙌🙌 naomba nisamehe tyuuuuuntakubonda wee.