Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Nimefurahi kukuona kaka yangu. Za wewe na familia?Dada yangu nikupendaye Heaven Sent natambua uwepo wako
Nimefurahi kukuona kaka yangu. Za wewe na familia?Dada yangu nikupendaye Heaven Sent natambua uwepo wako
Tena ngoja niisevu ile namba yako ya WhatsApp nami nicheke kwanza!!nipo tsup naweka status za kuwashtua watu afu nafuta, ila mie wee status dkk 10 viewers 63, na wanavopebda umbea sasa, nawadolishia km nataka kulipua kitu, afu nawaacha na shauku.
Hakika hii ni kauli ya unyenyekevu wa kiwango cha juu sana.Amen madam
Yaani nilidhani nakukwaza
Na kama nimekukwaza na mwingine yeyote mnisamehe tuu kweli, au akitokea mwingine kakwazika nisaidie kuniombea msamaha tafadhali
Mwenzio niko kwenye jukwaa la soka, wee si hupendi mambo ya kabumbu, mie shabiki kindaki ndaki, sasa napiga watu spana hukoNa Umepitwa na nyingi mnoo!!







Dogo unahari taarifa sasa utamchanganya braza ujueWe sema kweli ulimtaka sema madame ni jasiri muongoza njia alikudunda ka kitenesi
Amen 🙏🙏🙏Hakika hii ni kauli ya unyenyekevu wa kiwango cha juu sana.
Barikiwa brother
Uwe unanitag nije kucheka mie! Mie sijui hata napenda nini walai🤣🤣🤣😂😂Mwenzio niko kwenye jukwaa la soka, wee si hupendi mambo ya kabumbu, mie shabiki kindaki ndaki, sasa napiga watu spana huko
Utopolooo nawavuruga kweli kweli![]()
Weee mi mwenyewe nina risasi humu ndani asintanieee Mrashia kaiacha kwa usalama zaidi hapenyezi kiumbe humu ndani!!





hata kufyatua unajua sasa?Mr vocha Hebu niitie coca kule ukute yupo anasoma komenti za asubuhi huko 🤣👇Amen 🙏🙏🙏
Asante dear kwa kuwanyoosha huko 😂 ...Mwenzio niko kwenye jukwaa la soka, wee si hupendi mambo ya kabumbu, mie shabiki kindaki ndaki, sasa napiga watu spana huko
Utopolooo nawavuruga kweli kweli![]()
😂😂🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂! Sijawahi hata kuishika kwanza nimeificha Junia asiione yupo kwenye stegi ya kuiga kila akionacho sitaki murder kesi mimi!!hata kufyatua unajua sasa?
Tuma vocha watakusamehe hio ndio asali yao!Amen madam
Yaani nilidhani nakukwaza
Na kama nimekukwaza na mwingine yeyote mnisamehe tuu kweli, au akitokea mwingine kakwazika nisaidie kuniombea msamaha tafadhali
Dah......Tuma vocha watakusamehe hio ndio asali yao!
💃💃💃💃🤸🤸✌️✌️✌️✌️✌️Hakika hii ni kauli ya unyenyekevu wa kiwango cha juu sana.
Barikiwa brother
Tuko na dada kalpana, tunawavuruga utopolooooo hadi wanakaukwaa koo.Asante dear kwa kuwanyoosha huko...








Ngoja nitakutag bas shougaaaa angu.Uwe unanitag nije kucheka mie! Mie sijui hata napenda nini walai![]()







Yaan fanya asiione kabisaaaa, wee hatareew hiyoooo.! Sijawahi hata kuishika kwanza nimeificha Junia asiione yupo kwenye stegi ya kuiga kila akionacho sitaki murder kesi mimi!!