Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilijaribu Mara moja kwenye mock nilitoboa na miguu kwenye maji matokeo yaliyotoka sikurudia tena huo ujinga bora ningelala tu

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Hahaha ila mock huwa zinazingua kweli, matokeo huja kitofauti .

Mimi nilikuwa sijichoshi yaani siku ya pepa ndo nalala kawaida na sishtuki usiku .
 
Mweh nimesoma serikali mie kwa hiyo naelewa
Hiyo medium ilikuwa primary huko .
Wanakwambia msingi mtoto asome medium sec hata ukimpeleka serikal ni Sawa ndyo kilichonikuta mm hko primary st kayumba sec private niliona wananichanganyia files tu

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom