Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Machenza yana virutubisho ambayo yanaweza kutoa faida nyingi kwa afya yako. Zimejaa antioxidants, ambavyo vinaweza kusaidia kinga na kuboresha afya ya ubongo, ngozi na moyo.
Pia ina vitamin C ya kutosha .
Shukran dokta ubarikiwe sana mrembo wangu nimejifunza kitu na nimeelewa

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
mkuu huonekani kama unajua mambo ya kilimo hasa ushubwada kama Mpunga
kwetu shughuri kuu ni kilimo, sahivi hapa kule kwetu ndo wanavuna mpunga,

Ktk kilimo cha mpunga, sipendi kupandikiza na Kung'olea, hssa ukute dimba lina luhanu mbna utalia chozi,

Zinawasha hataree, afu sasa, liwe linawaka jua luhanu linaparaza na majimaji ya dimbani yakigusana kuchanganya na joto, sikiliza muwasho wake hapo, utatafutana.

Nshalima sanaaa.,
 
Habal zenu wandugu
IMG_20220716_091422.jpg
 
Back
Top Bottom